Nilipe nisepe
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 446
- 971
Mbona mliooko kwenye ndoa mnatushwawishi sisi pia tuingie?Kama unafurahia ndoa yako si ukae tu kimya mkuu?/
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangu uoe una mda gani sasa?Kama ni hivi karibuni,ungesubiri kwanza ichanganyeHaya ni mabadiriko ya maisha yangu baada ya kuoa.
POSITIVE.
1. Kabla ya kuoa nilikuwa naweza lala bila kula au nikala mkate na juisi tu nikalala ila sasa nikitoka kazini na njaa nakuta mke wangu amenipikia chakula nikipendacho.
2. Kabla ya kuoa nilikuwa naweza amka asubuhi,nataka kwenda kazini nakuta nguo zote chafu. Sasa hivi hata sifikilii kuhusu nguo za kuvaa, wife ana deal vizuri na hilo.
3. Kabla ya kuoa nilikuwa nateswa sana na njaa ya sex ( nyege) inafikia wakati umekaa kwenye daladala unashangaa baba wa taifa anasimama bila sababu.Sasa hivi mke wangu ananitosheleza vizuri.
4. Nilikuwa nateswa na stress za kazi. Nikitoka job na stress, najifungia ndani na stress zangu, nakosa hata usingizi. Sasa hivi nikitoka job nikifika home tu stress zinaisha kesho yake nakuwa mtu mpya.
5. Nilikuwa nakwepa kupokea wageni sababu nyumbani kwangu mazingira yalikuwa hovyo. Sasa hivi natamani kupokea wageni, na wageni wakija wanaondoka wamefurahi.
6. Nilikuwa nateswa na underweight, nguo hazikai kiunoni sababu ya kukonda kupitiliza. Sasa hivi nalazikika kufanya mazoezi kuepuka overweight.
7. Jumamosi naamka asubuhi nakula chakula cha kiume( morning Glory) kisha nalala tena nasubiri kuamshwa kupata breakfast 😀.
NEGATIVES
1.Matumizi ya pesa ya matunzo kwa mke kama nguo, kusuka, mafuta, kumtoa out siku moja moja.
2. Kukosa uhuru wa kufanya ninacho taka nikiwa kwangu kama vile kuweka Chanel ya TV ninayo taka ( sasa hivi nalazikika kuangalia vitu vya kijinga kama juakali)
3. Kukosa uhuru wa kutoka na kurudi muda ninao taka.
4. Maudhui madogo madogo ya wanawake kama kununa kwa sababu za kijinga na kudeka.
5. Sasa hivi sifanyi vitu kwa kujiangalia mwenyewe lazima nimfikilie na mke wangu.
NB: ndoa ina postives na negatives, ombea postives ziwe nyingi na negatives ziwe zinazo vumilika. Usiwasikilize team kataa ndoa, ni losers. Za kuambiwa changanya na zako
Ongeza TV ya pili, Weka Chumba tofauti.2. Kukosa uhuru wa kufanya ninacho taka nikiwa kwangu kama vile kuweka Chanel ya TV ninayo taka ( sasa hivi nalazikika kuangalia vitu vya kijinga kama juakali)
Changamoto zitakuja, watoto, mabadiliko yanaokuja na umri.... Ni wewe kuamua kuwa utavuka. Ila all in all, marriage bado ni net positiveKusema kweli ndoa yangu bado changa, ndio kwanza mwaka mmoja. Najua changamoto nyingine zinaweza kuja na nimejiandaa kukabiliana nazo.
Kwenye maisha ya kawaida hakukosi kero.Hakupi kero kubwa ila anakupa kero, ungekua mwenyewe hizo kero usingezipata. Kukishakua na kero, whether kubwa ama ndogo bado ni hasara.
Unaoa ili iweje hasa?
Ungekuwa mkristoo aisee ungeshapata mke mwemaMi mwenyewe nataka kukimbimbia ubacchela uliwa bachela hata wale magaidi wanashawishika kuja kukushawishi ukajitoe muhanga maana wanajua ni rahisi nyuma yako huna unachowaza hauna mke wala mtoto
Kingine cha muhimu zaidi,wasipeleke kesi zao nje wala wasisikilize maneno ya watu,Ndoa ni nzuri wakikutana wawili wanaoelewana.kila mmoja anatimiza wajibu wake bila kulazimishwa.ama alishindwa anajieleza.
Ila Sasa wakikutana wawili wenye viburi vyao kutoka kwenye makuzi Yao huko🙆
Angalia na beloved huko pearl magic saa 2 Au angalia sanura maisha magic east uburudike nduguHili limekuwa janga, kuna Mpali, Hubba mara mapishi hadi kero aisee
Ndo maanaKusema kweli ndoa yangu bado changa, ndio kwanza mwaka mmoja. Najua changamoto nyingine zinaweza kuja na nimejiandaa kukabiliana nazo.
Kweli kabisa.hapo kwenye kutoa kesi zao nje wanaweza wakaamua kusameheana na kuganga yajayo lakini wale wa nje walioshirikishwa bado wakayaweka moyoni.Kingine cha muhimu zaidi,wasipeleke kesi zao nje wala wasisikilize maneno ya watu,
Matatizo yao madogo madogo wayamalize wao wenyewe ndani,kila mmoja amuheshimu mwenzake,asitokee mmoja akajiona yeye ni bora zaidi kuliko mwenzake,hapo ndio ataona kila rangi kwenye hiyo ndoa.
Ndoa changa zina raha sana na ni rahisi kuvumiliana.Haya ni mabadiriko ya maisha yangu baada ya kuoa.
POSITIVE.
1. Kabla ya kuoa nilikuwa naweza lala bila kula au nikala mkate na juisi tu nikalala ila sasa nikitoka kazini na njaa nakuta mke wangu amenipikia chakula nikipendacho.
2. Kabla ya kuoa nilikuwa naweza amka asubuhi,nataka kwenda kazini nakuta nguo zote chafu. Sasa hivi hata sifikilii kuhusu nguo za kuvaa, wife ana deal vizuri na hilo.
3. Kabla ya kuoa nilikuwa nateswa sana na njaa ya sex ( nyege) inafikia wakati umekaa kwenye daladala unashangaa baba wa taifa anasimama bila sababu.Sasa hivi mke wangu ananitosheleza vizuri.
4. Nilikuwa nateswa na stress za kazi. Nikitoka job na stress, najifungia ndani na stress zangu, nakosa hata usingizi. Sasa hivi nikitoka job nikifika home tu stress zinaisha kesho yake nakuwa mtu mpya.
5. Nilikuwa nakwepa kupokea wageni sababu nyumbani kwangu mazingira yalikuwa hovyo. Sasa hivi natamani kupokea wageni, na wageni wakija wanaondoka wamefurahi.
6. Nilikuwa nateswa na underweight, nguo hazikai kiunoni sababu ya kukonda kupitiliza. Sasa hivi nalazikika kufanya mazoezi kuepuka overweight.
7. Jumamosi naamka asubuhi nakula chakula cha kiume( morning Glory) kisha nalala tena nasubiri kuamshwa kupata breakfast 😀.
NEGATIVES
1.Matumizi ya pesa ya matunzo kwa mke kama nguo, kusuka, mafuta, kumtoa out siku moja moja.
2. Kukosa uhuru wa kufanya ninacho taka nikiwa kwangu kama vile kuweka Chanel ya TV ninayo taka ( sasa hivi nalazikika kuangalia vitu vya kijinga kama juakali)
3. Kukosa uhuru wa kutoka na kurudi muda ninao taka.
4. Maudhui madogo madogo ya wanawake kama kununa kwa sababu za kijinga na kudeka.
5. Sasa hivi sifanyi vitu kwa kujiangalia mwenyewe lazima nimfikilie na mke wangu.
NB: ndoa ina postives na negatives, ombea postives ziwe nyingi na negatives ziwe zinazo vumilika. Usiwasikilize team kataa ndoa, ni losers. Za kuambiwa changanya na zako
Eheheheh..mi mqenzake nime enjoy miaka 9 na ushee, bado miezi mi 4 kufika miaka 10 chaliiiiiiiBado changa mkuu enjoy
Kwa hii simulizi yake huyu jamaa ni mwenzetu sema tu kaamua kutujuza jambo fulaniCc: Kataa ndoa company limited...
Mi mwenyewe ndo kinachonikutaga hiki, yani wife anapenda hizi tamthilia balaa. Asa mi napendaga kuchek documentary, yani unataka uweke channel ya documentary, wife kashawahi remote anaweka sinema zetu. Yan sahv natumia pc yangu kuchek ninachotaka, TV nimemwachia wife & mtoto.2. Kukosa uhuru wa kufanya ninacho taka nikiwa kwangu kama vile kuweka Chanel ya TV ninayo taka ( sasa hivi nalazikika kuangalia vitu vya kijinga kama juakali)
Eheheheh..mi mqenzake nime enjoy miaka 9 na ushee, bado miezi mi 4 kufika miaka 10 chaliiiiiii
Ungekua muislam ungepata mume mwemaUngekuwa mkristoo aisee ungeshapata mke mwema