Mabadiliko ya maisha yangu baada ya kuoa

Mabadiliko ya maisha yangu baada ya kuoa

Haya ni mabadiriko ya maisha yangu baada ya kuoa.

POSITIVE.

1. Kabla ya kuoa nilikuwa naweza lala bila kula au nikala mkate na juisi tu nikalala ila sasa nikitoka kazini na njaa nakuta mke wangu amenipikia chakula nikipendacho.

2. Kabla ya kuoa nilikuwa naweza amka asubuhi,nataka kwenda kazini nakuta nguo zote chafu. Sasa hivi hata sifikilii kuhusu nguo za kuvaa, wife ana deal vizuri na hilo.

3. Kabla ya kuoa nilikuwa nateswa sana na njaa ya sex ( nyege) inafikia wakati umekaa kwenye daladala unashangaa baba wa taifa anasimama bila sababu.Sasa hivi mke wangu ananitosheleza vizuri.

4. Nilikuwa nateswa na stress za kazi. Nikitoka job na stress, najifungia ndani na stress zangu, nakosa hata usingizi. Sasa hivi nikitoka job nikifika home tu stress zinaisha kesho yake nakuwa mtu mpya.

5. Nilikuwa nakwepa kupokea wageni sababu nyumbani kwangu mazingira yalikuwa hovyo. Sasa hivi natamani kupokea wageni, na wageni wakija wanaondoka wamefurahi.

6. Nilikuwa nateswa na underweight, nguo hazikai kiunoni sababu ya kukonda kupitiliza. Sasa hivi nalazikika kufanya mazoezi kuepuka overweight.

7. Jumamosi naamka asubuhi nakula chakula cha kiume( morning Glory) kisha nalala tena nasubiri kuamshwa kupata breakfast 😀.

NEGATIVES

1.Matumizi ya pesa ya matunzo kwa mke kama nguo, kusuka, mafuta, kumtoa out siku moja moja.

2. Kukosa uhuru wa kufanya ninacho taka nikiwa kwangu kama vile kuweka Chanel ya TV ninayo taka ( sasa hivi nalazikika kuangalia vitu vya kijinga kama juakali)

3. Kukosa uhuru wa kutoka na kurudi muda ninao taka.

4. Maudhui madogo madogo ya wanawake kama kununa kwa sababu za kijinga na kudeka.

5. Sasa hivi sifanyi vitu kwa kujiangalia mwenyewe lazima nimfikilie na mke wangu.

NB: ndoa ina postives na negatives, ombea postives ziwe nyingi na negatives ziwe zinazo vumilika. Usiwasikilize team kataa ndoa, ni losers. Za kuambiwa changanya na zako
Tangu uoe una mda gani sasa?Kama ni hivi karibuni,ungesubiri kwanza ichanganye
 
Kusema kweli ndoa yangu bado changa, ndio kwanza mwaka mmoja. Najua changamoto nyingine zinaweza kuja na nimejiandaa kukabiliana nazo.
Changamoto zitakuja, watoto, mabadiliko yanaokuja na umri.... Ni wewe kuamua kuwa utavuka. Ila all in all, marriage bado ni net positive
 
Hakupi kero kubwa ila anakupa kero, ungekua mwenyewe hizo kero usingezipata. Kukishakua na kero, whether kubwa ama ndogo bado ni hasara.

Unaoa ili iweje hasa?
Kwenye maisha ya kawaida hakukosi kero.
Mzazi wako anaweza akawa anakukera,
Ofisini kuna kero, je inaacha kazi kisa kuna kero za mfanyakazi mwenzio.
Mahusiano ya kawaida, yasiyo na ndoa yana kero zake pia.
Hata ukinunua malaya pia kuna vikero vyake.

Kinachoangaliwa ni positive na negative.
S
Siwezi kuacha mke, kisa tu anapenda kunipigia sana simu kila muda haswa tukiwa mbalimbali nami sio mpenz wa kuzungumza sana na simu(kuongea na simu muda mrefu kwangu ni changamoto, ila kwa sababu ya mke wangu inanibidi niongee dk 10,20 mpaka nusu saa)

Kuna vijikero vya kijinga vinafutwa na mazuri yake.
 
Mi mwenyewe nataka kukimbimbia ubacchela uliwa bachela hata wale magaidi wanashawishika kuja kukushawishi ukajitoe muhanga maana wanajua ni rahisi nyuma yako huna unachowaza hauna mke wala mtoto
Ungekuwa mkristoo aisee ungeshapata mke mwema
 
Ndoa ni nzuri wakikutana wawili wanaoelewana.kila mmoja anatimiza wajibu wake bila kulazimishwa.ama alishindwa anajieleza.
Ila Sasa wakikutana wawili wenye viburi vyao kutoka kwenye makuzi Yao huko🙆
Kingine cha muhimu zaidi,wasipeleke kesi zao nje wala wasisikilize maneno ya watu,
Matatizo yao madogo madogo wayamalize wao wenyewe ndani,kila mmoja amuheshimu mwenzake,asitokee mmoja akajiona yeye ni bora zaidi kuliko mwenzake,hapo ndio ataona kila rangi kwenye hiyo ndoa.
 
Kingine cha muhimu zaidi,wasipeleke kesi zao nje wala wasisikilize maneno ya watu,
Matatizo yao madogo madogo wayamalize wao wenyewe ndani,kila mmoja amuheshimu mwenzake,asitokee mmoja akajiona yeye ni bora zaidi kuliko mwenzake,hapo ndio ataona kila rangi kwenye hiyo ndoa.
Kweli kabisa.hapo kwenye kutoa kesi zao nje wanaweza wakaamua kusameheana na kuganga yajayo lakini wale wa nje walioshirikishwa bado wakayaweka moyoni.
 
Haya ni mabadiriko ya maisha yangu baada ya kuoa.

POSITIVE.

1. Kabla ya kuoa nilikuwa naweza lala bila kula au nikala mkate na juisi tu nikalala ila sasa nikitoka kazini na njaa nakuta mke wangu amenipikia chakula nikipendacho.

2. Kabla ya kuoa nilikuwa naweza amka asubuhi,nataka kwenda kazini nakuta nguo zote chafu. Sasa hivi hata sifikilii kuhusu nguo za kuvaa, wife ana deal vizuri na hilo.

3. Kabla ya kuoa nilikuwa nateswa sana na njaa ya sex ( nyege) inafikia wakati umekaa kwenye daladala unashangaa baba wa taifa anasimama bila sababu.Sasa hivi mke wangu ananitosheleza vizuri.

4. Nilikuwa nateswa na stress za kazi. Nikitoka job na stress, najifungia ndani na stress zangu, nakosa hata usingizi. Sasa hivi nikitoka job nikifika home tu stress zinaisha kesho yake nakuwa mtu mpya.

5. Nilikuwa nakwepa kupokea wageni sababu nyumbani kwangu mazingira yalikuwa hovyo. Sasa hivi natamani kupokea wageni, na wageni wakija wanaondoka wamefurahi.

6. Nilikuwa nateswa na underweight, nguo hazikai kiunoni sababu ya kukonda kupitiliza. Sasa hivi nalazikika kufanya mazoezi kuepuka overweight.

7. Jumamosi naamka asubuhi nakula chakula cha kiume( morning Glory) kisha nalala tena nasubiri kuamshwa kupata breakfast 😀.

NEGATIVES

1.Matumizi ya pesa ya matunzo kwa mke kama nguo, kusuka, mafuta, kumtoa out siku moja moja.

2. Kukosa uhuru wa kufanya ninacho taka nikiwa kwangu kama vile kuweka Chanel ya TV ninayo taka ( sasa hivi nalazikika kuangalia vitu vya kijinga kama juakali)

3. Kukosa uhuru wa kutoka na kurudi muda ninao taka.

4. Maudhui madogo madogo ya wanawake kama kununa kwa sababu za kijinga na kudeka.

5. Sasa hivi sifanyi vitu kwa kujiangalia mwenyewe lazima nimfikilie na mke wangu.

NB: ndoa ina postives na negatives, ombea postives ziwe nyingi na negatives ziwe zinazo vumilika. Usiwasikilize team kataa ndoa, ni losers. Za kuambiwa changanya na zako
Ndoa changa zina raha sana na ni rahisi kuvumiliana.
 
2. Kukosa uhuru wa kufanya ninacho taka nikiwa kwangu kama vile kuweka Chanel ya TV ninayo taka ( sasa hivi nalazikika kuangalia vitu vya kijinga kama juakali)
Mi mwenyewe ndo kinachonikutaga hiki, yani wife anapenda hizi tamthilia balaa. Asa mi napendaga kuchek documentary, yani unataka uweke channel ya documentary, wife kashawahi remote anaweka sinema zetu. Yan sahv natumia pc yangu kuchek ninachotaka, TV nimemwachia wife & mtoto.
 
Kwa hiyo tunachojifunza kwa uzi huu ni kuwa ,timu kataa ndoa ,ni auna ya watu wasioweza kukabili changamoto hasa kuanziq za kimaisha ,hadi za ndoa.

Na huenda ndo timu inayotoa wengi wanaojinyonga
 
Back
Top Bottom