Mabadiliko ya maisha yangu baada ya kuoa

Mabadiliko ya maisha yangu baada ya kuoa

ndoa sio tamu unaleta ujinga hapa jaman toa takataka hii ..... unajua utamu ni kujua kujijua the christ within ukijua hii hutataka ndoa it is beyond cocaine
 
Muda unavyozidi kwenda NEGATIVE zitaongezeka na POSITIVE zitaisha kabisa.Ndoa changa huwa zinakuwa 🔥🔥🔥 kwasababu bado hamjazoeana na kuanza kuonyeshana SURA HALISI.

Itafika muda utatamani umiliki DRY CLEANER, Uajiri mtu awe tu anakuja kufanya usafi na kupika alafu asepe.Yaani kuna muda utakerwa utamisi UBACHELA. Stay tuned!!!!

#kataa ndoa,ndoa ni utapeli!
 
Haya ni mabadiriko ya maisha yangu baada ya kuoa.

POSITIVE.

1. Kabla ya kuoa nilikuwa naweza lala bila kula au nikala mkate na juisi tu nikalala ila sasa nikitoka kazini na njaa nakuta mke wangu amenipikia chakula nikipendacho.

2. Kabla ya kuoa nilikuwa naweza amka asubuhi,nataka kwenda kazini nakuta nguo zote chafu. Sasa hivi hata sifikilii kuhusu nguo za kuvaa, wife ana deal vizuri na hilo.

3. Kabla ya kuoa nilikuwa nateswa sana na njaa ya sex ( nyege) inafikia wakati umekaa kwenye daladala unashangaa baba wa taifa anasimama bila sababu.Sasa hivi mke wangu ananitosheleza vizuri.

4. Nilikuwa nateswa na stress za kazi. Nikitoka job na stress, najifungia ndani na stress zangu, nakosa hata usingizi. Sasa hivi nikitoka job nikifika home tu stress zinaisha kesho yake nakuwa mtu mpya.

5. Nilikuwa nakwepa kupokea wageni sababu nyumbani kwangu mazingira yalikuwa hovyo. Sasa hivi natamani kupokea wageni, na wageni wakija wanaondoka wamefurahi.

6. Nilikuwa nateswa na underweight, nguo hazikai kiunoni sababu ya kukonda kupitiliza. Sasa hivi nalazikika kufanya mazoezi kuepuka overweight.

7. Jumamosi naamka asubuhi nakula chakula cha kiume( morning Glory) kisha nalala tena nasubiri kuamshwa kupata breakfast 😀.

NEGATIVES

1.Matumizi ya pesa ya matunzo kwa mke kama nguo, kusuka, mafuta, kumtoa out siku moja moja.

2. Kukosa uhuru wa kufanya ninacho taka nikiwa kwangu kama vile kuweka Chanel ya TV ninayo taka ( sasa hivi nalazikika kuangalia vitu vya kijinga kama juakali)

3. Kukosa uhuru wa kutoka na kurudi muda ninao taka.

4. Maudhui madogo madogo ya wanawake kama kununa kwa sababu za kijinga na kudeka.

5. Sasa hivi sifanyi vitu kwa kujiangalia mwenyewe lazima nimfikilie na mke wangu.

NB: ndoa ina postives na negatives, ombea postives ziwe nyingi na negatives ziwe zinazo vumilika. Usiwasikilize team kataa ndoa, ni losers. Za kuambiwa changanya na zako
wanetu,tumchane au tumuache kwanza?
 
Jana nilinyandua wife mpaka aka squit ,jamani godoro lote lililoa na maji ,jamani ndoa ni ngumu kama utashindwa kumridhisha mke wako.
 
Walai bilai watalai hiyo ndoa bado changa pengine ina mwezi hivi ukifika miezi sita utaanza tu kuimba mbona wewoooooooo,

Mamaqe
 
2. Kukosa uhuru wa kufanya ninacho taka nikiwa kwangu kama vile kuweka Chanel ya TV ninayo taka ( sasa hivi nalazikika kuangalia vitu vya kijinga kama juakali)
kuangalia juakali na mkeo mbona sio ujinga kabisa😅
 
ndoa sio tamu unaleta ujinga hapa jaman toa takataka hii ..... unajua utamu ni kujua kujijua the christ within ukijua hii hutataka ndoa it is beyond cocaine
Weka nyama nyama
 
Kila mtu aishi maisha aliyochagua kuishi yanayompa furaha. Huwa najiuliza kwanini waliooa huwa wanatumia nguvu nyingi ionekane wana furaha kwenye ndoa!?.., kwani ni lazima kushawishiana au kulingishiana furaha!?!?..,
Mbona kataa ndoa mnatumia nguvu kubwa sana kuonyesha watu kuwa ndoa ni mbaya sana, na mna furaha sanaa!!
 
Kitu cha kwanza kitakacho kugharimu ukiingia kwenye NDOA ni uhuru wako.....kuna muda unalazimika kuyakubali mambo ili tu kuwe na amani hata kama nafsi yako haitaki......

Bado NDOA inabakia kuwa ni taasisi ngumu sana kimaumbile ndio maana kuvumiliana ni jambo la msingi kwa kuwa kero na changamoto nyingi sana.......

Nawashauri vijana wafikirie mara mbili mbili kabla ya kufanya maamuzi ya kuoa..... unatakiwa ujipange kimwili na kiakili kuyakabili mazito hata yale ambayo hukuyatarajia kabisa.......

NDOA NDOANO.......
 
Haya ni mabadiriko ya maisha yangu baada ya kuoa.

POSITIVE.

1. Kabla ya kuoa nilikuwa naweza lala bila kula au nikala mkate na juisi tu nikalala ila sasa nikitoka kazini na njaa nakuta mke wangu amenipikia chakula nikipendacho.

2. Kabla ya kuoa nilikuwa naweza amka asubuhi,nataka kwenda kazini nakuta nguo zote chafu. Sasa hivi hata sifikilii kuhusu nguo za kuvaa, wife ana deal vizuri na hilo.

3. Kabla ya kuoa nilikuwa nateswa sana na njaa ya sex ( nyege) inafikia wakati umekaa kwenye daladala unashangaa baba wa taifa anasimama bila sababu.Sasa hivi mke wangu ananitosheleza vizuri.

4. Nilikuwa nateswa na stress za kazi. Nikitoka job na stress, najifungia ndani na stress zangu, nakosa hata usingizi. Sasa hivi nikitoka job nikifika home tu stress zinaisha kesho yake nakuwa mtu mpya.

5. Nilikuwa nakwepa kupokea wageni sababu nyumbani kwangu mazingira yalikuwa hovyo. Sasa hivi natamani kupokea wageni, na wageni wakija wanaondoka wamefurahi.

6. Nilikuwa nateswa na underweight, nguo hazikai kiunoni sababu ya kukonda kupitiliza. Sasa hivi nalazikika kufanya mazoezi kuepuka overweight.

7. Jumamosi naamka asubuhi nakula chakula cha kiume( morning Glory) kisha nalala tena nasubiri kuamshwa kupata breakfast 😀.

NEGATIVES

1.Matumizi ya pesa ya matunzo kwa mke kama nguo, kusuka, mafuta, kumtoa out siku moja moja.

2. Kukosa uhuru wa kufanya ninacho taka nikiwa kwangu kama vile kuweka Chanel ya TV ninayo taka ( sasa hivi nalazikika kuangalia vitu vya kijinga kama juakali)

3. Kukosa uhuru wa kutoka na kurudi muda ninao taka.

4. Maudhui madogo madogo ya wanawake kama kununa kwa sababu za kijinga na kudeka.

5. Sasa hivi sifanyi vitu kwa kujiangalia mwenyewe lazima nimfikilie na mke wangu.

NB: ndoa ina postives na negatives, ombea postives ziwe nyingi na negatives ziwe zinazo vumilika. Usiwasikilize team kataa ndoa, ni losers. Za kuambiwa changanya na zako
Bro hakikisha clutch, breki, accelerator pedal uwe vizuri kuvimudu na hiyo gari yako mpya hiyo HINO toka japan ipo tambarare pale mataa ya Morocco everything is smooth, kaa ukijua safari yako lazma ipite Milima Kitonga, uhuru huna endapo utafeli vitatu hapo juu ukiwa kitonga 😂😂😂, huyo uliyempakia hajui hayo cause hausiki nayo anajali kufika tu. Ni hayo tu


Kilimani weka kaseja nenda mdogo mdogo, milima inateleza ukishuka sana kama huna stoppper/retarder haya🤣🤣🤣
Madereva wameelewa 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom