Mabadiliko ya maisha yangu baada ya kuoa

Mabadiliko ya maisha yangu baada ya kuoa

wanetu,tumchane au tumuache kwanza?
tumuache huyu bado ana hangover ya pussy. Beginners hawa wanambwembwe sana😄😄😄

Kwa sisi malegend wa SOGEA tukae tunamuonea bwanamdogo huruma na tunamshauri akae kwa kutulia ndo kwanza usubuhi, bado kabisa NGOMA mbichi.

Kama Eva alimuaribia Adam amani yake kule bustanini😄😄😄,kwa bwanamdogo ni swala la muda tu atakuja kupiga yowe hapa JF kwa id mficho😂😂😂


#kataa ndoa,ndoa ni utapeli!
 
tumuache huyu bado ana hangover ya pussy. Beginners hawa wanambwembwe sana😄😄😄

Kwa sisi malegend wa SOGEA tukae tunamuonea bwanamdogo huruma na tunamshauri akae kwa kutulia ndo kwanza usubuhi, bado kabisa NGOMA mbichi.

Kama Eva alimuaribia Adam amani yake kule bustanini😄😄😄,kwa bwanamdogo ni swala la muda tu atakuja kupiga yowe hapa JF kwa id mficho😂😂😂


#kataa ndoa,ndoa ni utapeli!
Ha ha ha
 
Kila mtu aishi maisha aliyochagua kuishi yanayompa furaha. Huwa najiuliza kwanini waliooa huwa wanatumia nguvu nyingi ionekane wana furaha kwenye ndoa!?.., kwani ni lazima kushawishiana au kulingishiana furaha!?!?..,
Embu oa uko.
 
Nilitaka nitiririke ninayopitia hapa ila ngoja tumuunge master degree mwenzetu tuchukue point

Hakika ndoa tamu
 
Mi mwenyewe nataka kukimbimbia ubacchela uliwa bachela hata wale magaidi wanashawishika kuja kukushawishi ukajitoe muhanga maana wanajua ni rahisi nyuma yako huna unachowaza hauna mke wala mtoto
Gaidi anakushawishi tena ukajitie muhanga??
Uko sawa Devil one?
 
Kwa hiyo point namba tatu pekee inaonekana wew ni domo zege na uwenda hata mkeo kwako hata akikosea unaona sawa tu coz unajua kupata mwngne ni mtiti dunia ya leo ukiteseka na ny***ge umependa tu.

Pia kama unaoa sababu ya kufuliwa we ni mchafu bya nature hadi ghetto lako ushindwe kusafisha pia.
 
Haya ni mabadiriko ya maisha yangu baada ya kuoa.

POSITIVE.

1. Kabla ya kuoa nilikuwa naweza lala bila kula au nikala mkate na juisi tu nikalala ila sasa nikitoka kazini na njaa nakuta mke wangu amenipikia chakula nikipendacho.

2. Kabla ya kuoa nilikuwa naweza amka asubuhi,nataka kwenda kazini nakuta nguo zote chafu. Sasa hivi hata sifikilii kuhusu nguo za kuvaa, wife ana deal vizuri na hilo.

3. Kabla ya kuoa nilikuwa nateswa sana na njaa ya sex ( nyege) inafikia wakati umekaa kwenye daladala unashangaa baba wa taifa anasimama bila sababu.Sasa hivi mke wangu ananitosheleza vizuri.

4. Nilikuwa nateswa na stress za kazi. Nikitoka job na stress, najifungia ndani na stress zangu, nakosa hata usingizi. Sasa hivi nikitoka job nikifika home tu stress zinaisha kesho yake nakuwa mtu mpya.

5. Nilikuwa nakwepa kupokea wageni sababu nyumbani kwangu mazingira yalikuwa hovyo. Sasa hivi natamani kupokea wageni, na wageni wakija wanaondoka wamefurahi.

6. Nilikuwa nateswa na underweight, nguo hazikai kiunoni sababu ya kukonda kupitiliza. Sasa hivi nalazikika kufanya mazoezi kuepuka overweight.

7. Jumamosi naamka asubuhi nakula chakula cha kiume( morning Glory) kisha nalala tena nasubiri kuamshwa kupata breakfast 😀.

NEGATIVES

1.Matumizi ya pesa ya matunzo kwa mke kama nguo, kusuka, mafuta, kumtoa out siku moja moja.

2. Kukosa uhuru wa kufanya ninacho taka nikiwa kwangu kama vile kuweka Chanel ya TV ninayo taka ( sasa hivi nalazikika kuangalia vitu vya kijinga kama juakali)

3. Kukosa uhuru wa kutoka na kurudi muda ninao taka.

4. Maudhui madogo madogo ya wanawake kama kununa kwa sababu za kijinga na kudeka.

5. Sasa hivi sifanyi vitu kwa kujiangalia mwenyewe lazima nimfikilie na mke wangu.

NB: ndoa ina postives na negatives, ombea postives ziwe nyingi na negatives ziwe zinazo vumilika. Usiwasikilize team kataa ndoa, ni losers. Za kuambiwa changanya na zako
Hatimaye expert amejipata ndani ya ndoa
 
Kila mtu aishi maisha aliyochagua kuishi yanayompa furaha. Huwa najiuliza kwanini waliooa huwa wanatumia nguvu nyingi ionekane wana furaha kwenye ndoa!?.., kwani ni lazima kushawishiana au kulingishiana furaha!?!?..,
Hata wasio na ndoa wanatumia nguvu nyingi ionekane ndoani ni vilio tupu.
 
3. Kukosa uhuru wa kutoka na kurudi muda ninao taka.
Unakoswaje uhuru na upo kwako mkuu?
Kwahiyo huwa unapangiwa muda wa kurudi? Mbona wengine hata kuaga huwa tunaaga tyr nikiwa kwenye basi naendelea na safari na siku ya kurudi naijua mimi na muda wowote naweza fika mapema kama sina mizigo napita sehemu kwanza hadi 7 ndo narudi kwangu.

Achana na maisha ya kila siku yeye huwa anauliza tukusubiri kula au tukuachie chakula basi zaidi ya hapo anataka kunipanda kichwani,

Jirekebisha hii sijaipende.Hlafu mwanaume kuangalia JUAKALI ni undwazi sana. mwanaume angalia bbc,Voa,Dw nk ikiisha kabizi remort kalale.

Kama unapenda wanyama vizia muda ambao hawapo active na TV weka angalia hadi uchoke nenda misele kurudi majaliwa
 
Tv nayo ni moja ya kero kwako kwenye ndoa hakika ndoa yenu ni change hiso negative hakuna yenye mashiko hata moja kunywa mtori nyama zipo chini

Kila lakher
 
Haya ni mabadiriko ya maisha yangu baada ya kuoa.

POSITIVE.

1. Kabla ya kuoa nilikuwa naweza lala bila kula au nikala mkate na juisi tu nikalala ila sasa nikitoka kazini na njaa nakuta mke wangu amenipikia chakula nikipendacho.

2. Kabla ya kuoa nilikuwa naweza amka asubuhi,nataka kwenda kazini nakuta nguo zote chafu. Sasa hivi hata sifikilii kuhusu nguo za kuvaa, wife ana deal vizuri na hilo.

3. Kabla ya kuoa nilikuwa nateswa sana na njaa ya sex ( nyege) inafikia wakati umekaa kwenye daladala unashangaa baba wa taifa anasimama bila sababu.Sasa hivi mke wangu ananitosheleza vizuri.

4. Nilikuwa nateswa na stress za kazi. Nikitoka job na stress, najifungia ndani na stress zangu, nakosa hata usingizi. Sasa hivi nikitoka job nikifika home tu stress zinaisha kesho yake nakuwa mtu mpya.

5. Nilikuwa nakwepa kupokea wageni sababu nyumbani kwangu mazingira yalikuwa hovyo. Sasa hivi natamani kupokea wageni, na wageni wakija wanaondoka wamefurahi.

6. Nilikuwa nateswa na underweight, nguo hazikai kiunoni sababu ya kukonda kupitiliza. Sasa hivi nalazikika kufanya mazoezi kuepuka overweight.

7. Jumamosi naamka asubuhi nakula chakula cha kiume( morning Glory) kisha nalala tena nasubiri kuamshwa kupata breakfast 😀.

NEGATIVES

1.Matumizi ya pesa ya matunzo kwa mke kama nguo, kusuka, mafuta, kumtoa out siku moja moja.

2. Kukosa uhuru wa kufanya ninacho taka nikiwa kwangu kama vile kuweka Chanel ya TV ninayo taka ( sasa hivi nalazikika kuangalia vitu vya kijinga kama juakali)

3. Kukosa uhuru wa kutoka na kurudi muda ninao taka.

4. Maudhui madogo madogo ya wanawake kama kununa kwa sababu za kijinga na kudeka.

5. Sasa hivi sifanyi vitu kwa kujiangalia mwenyewe lazima nimfikilie na mke wangu.

NB: ndoa ina postives na negatives, ombea postives ziwe nyingi na negatives ziwe zinazo vumilika. Usiwasikilize team kataa ndoa, ni losers. Za kuambiwa changanya na zako
Hongera mkuu. Tukiweka assumption kuwa umepata mke mwema asiye na uhuni na mwenye nia ya dhati kutunza ndoa yake tegemea kero zifuatazo baada ya miaka kadhaa:

1. Kukuzoea kupitiliza itakayopelekea kujisahau hata wakati mwingine kuropoka ujinga au kukujibu upuuzi bila hata yeye kutegemea.

2. Kumzoea kupitiliza mpaka ukajisahau na kumuona hana jipya kwenye kufanya mapenzi itakayopelekea kutokujali hisia zake. (Hapa hata afanyaje unaweza kumchukulia poa)

3. Watoto kupewa kipaumbele na wewe kupuuzwa, hapa kama ulikuwa unaandaliwa chai unaweza shangaa hafatilii hata ukiinywa kwa shoga yake.

4. Uchafu, kuna nyakati anaweza asahau kuficha uchafu ambao kipindi cha mwanzo alikuwa nao makini. Mfano, kusahau kuflash na kuacha kinyesi chake au taulo zake za kike zilizotumika kuzisaha sehemu ya wazi na wewe kuziona.

5. Kuvutiwa na wanawake wa nje as long as anakukumbusha maisha kabla ya ndoa. Mwanamke wa kawaida tena asiye na uzuri wa mkeo anaweza kukuvutia kwa kiwango cha kurisk ndoa yako. Mkachat, sms usiku hata kupigiana video call na ukaona burudani, sio kwa sababu humpendi mkeo ila basi tu unajikuta kwenye hiyo hali. Ikikutokea hii pigana nayo usiiendekeze.

6. JARIBU LA WEWE KUFULIA, KUCHACHA, KUISHIWA, KUSHINDWA KUTIMIZA MAHITAJI YA NYUMBANI. HILI USIOMBE LIKUPATE MAANA HATA MKEO AKIWA MUELEWA KATIKA HIYO HALI CHOCHOTE ATAKACHOSEMA HATA NIA IKIWA NI KUJENGA UNAWEZA MJIBU VIBAYA HATA KUMTUKANA. WANAWAKE WACHACHE MNO WAPO SMART ENOUGH KUCHAGUA NINI CHA KUSEMA KWENYE HAYA MAZINGIRA KISILETE TAFSIRI MBAYA KWA MWANAUME.

N.K N.K N.K
 
Navojua mimi ukiona unaitwa kwenye fursa ujue wewe ndio fursa yenyewe
Ndoa ingekuwa nzuri kama mnavoisifia wala msingetulazimisha😁
 
bro usi nijaze nika chana mkeka 🙄😂
Usioe kisa mie nimeoa mzee, maana si rahisi kupata mke bora,
Tizama nikiangalia list ya wanawake niliodate nao, wenye hadhi ya kuwa mke hawazidi hata wa3, sasa ukiiona hiyo list yenyewe ndio utajua ni namna gani ilivyo ngumu kumpata mke sahihi.

Ukitaka kyoa kuwa makini sana.
 
Ndo raha ya ndoa hiyooo...kununiwa nuniwa siku moja moja...kuombwa ombwa hela kidogo...ndo mapenzi yananoga...
 
Back
Top Bottom