mtechnical
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 238
- 570
- Thread starter
- #21
Kwa mimi ndio, sababu sijawahi ielewa.Najua kwa wengine ni starehe kubwa hivyo no offense, nimezungumzia kwa upande wangu binafsi.Kwaio juakali ni vitu vya kijinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mimi ndio, sababu sijawahi ielewa.Najua kwa wengine ni starehe kubwa hivyo no offense, nimezungumzia kwa upande wangu binafsi.Kwaio juakali ni vitu vya kijinga
Hakupi kero kubwa ila anakupa kero, ungekua mwenyewe hizo kero usingezipata. Kukishakua na kero, whether kubwa ama ndogo bado ni hasara.Ndoa ni tamu inategemea na uliyempata, mie nikiambiwa ndoa mbaya, namcheka moyoni, sababu mke wangu hanipi kero kubwa kubwa, zipo zile ndogo ndogo ambazo kwa yale mazuri yake ni sawa na hakuna kero.
Yeah. Ndoa inahitaji unyenyekevu. Mtu mwenye kiburi, jeuri na mbinafsi anajifikilia yeye tu ndoa haimfai. Sisi tumekaa tukaorodhesha tabia ambazo kila mmoja wetu hazipendi kwa mwenzake na tumeahidiana mwaka 2025 kuziacha, na tunaombeana kuzishinda.Ndoa ni nzuri wakikutana wawili wanaoelewana.kila mmoja anatimiza wajibu wake bila kulazimishwa.ama alishindwa anajieleza.
Ila Sasa wakikutana wawili wenye viburi vyao kutoka kwenye makuzi Yao huko🙆
Umepoteza uhuru wa kufanya unachokipenda, unaudhiwa na mtu mwingine bila sababu, kati ya kataa ndoa na wewe ulieoa, wewe ndio loser na umesema mwenyewe kwamba umepoteza uhuru, maana yake uko jela, sasa alieko jela na alie huru ni nani loser?Haya ni mabadiriko ya maisha yangu baada ya kuoa.
POSITIVE.
1. Kabla ya kuoa nilikuwa naweza lala bila kula au nikala mkate na juisi tu nikalala ila sasa nikitoka kazini na njaa nakuta mke wangu amenipikia chakula nikipendacho.
2. Kabla ya kuoa nilikuwa naweza amka asubuhi,nataka kwenda kazini nakuta nguo zote chafu. Sasa hivi hata sifikilii kuhusu nguo za kuvaa, wife ana deal vizuri na hilo.
3. Kabla ya kuoa nilikuwa nateswa sana na njaa ya sex ( nyege) inafikia wakati umekaa kwenye daladala unashangaa baba wa taifa anasimama bila sababu.Sasa hivi mke wangu ananitosheleza vizuri.
4. Nilikuwa nateswa na stress za kazi. Nikitoka job na stress, najifungia ndani na stress zangu, nakosa hata usingizi. Sasa hivi nikitoka job nikifika home tu stress zinaisha kesho yake nakuwa mtu mpya.
5. Nilikuwa nakwepa kupokea wageni sababu nyumbani kwangu mazingira yalikuwa hovyo. Sasa hivi natamani kupokea wageni, na wageni wakija wanaondoka wamefurahi.
6. Nilikuwa nateswa na underweight, nguo hazikai kiunoni sababu ya kukonda kupitiliza. Sasa hivi nalazikika kufanya mazoezi kuepuka overweight.
7. Jumamosi naamka asubuhi nakula chakula cha kiume( morning Glory) kisha nalala tena nasubiri kuamshwa kupata breakfast 😀.
NEGATIVES
1.Matumizi ya pesa ya matunzo kwa mke kama nguo, kusuka, mafuta, kumtoa out siku moja moja.
2. Kukosa uhuru wa kufanya ninacho taka nikiwa kwangu kama vile kuweka Chanel ya TV ninayo taka ( sasa hivi nalazikika kuangalia vitu vya kijinga kama juakali)
3. Kukosa uhuru wa kutoka na kurudi muda ninao taka.
4. Maudhui madogo madogo ya wanawake kama kununa kwa sababu za kijinga na kudeka.
5. Sasa hivi sifanyi vitu kwa kujiangalia mwenyewe lazima nimfikilie na mke wangu.
NB: ndoa ina postives na negatives, ombea postives ziwe nyingi na negatives ziwe zinazo vumilika. Usiwasikilize team kataa ndoa, ni losers. Za kuambiwa changanya na zako
Yaani na umeshaanza kuona negative na ndoa bado mbichi kabisaa..Haya ni mabadiriko ya maisha yangu baada ya kuoa.
POSITIVE.
1. Kabla ya kuoa nilikuwa naweza lala bila kula au nikala mkate na juisi tu nikalala ila sasa nikitoka kazini na njaa nakuta mke wangu amenipikia chakula nikipendacho.
2. Kabla ya kuoa nilikuwa naweza amka asubuhi,nataka kwenda kazini nakuta nguo zote chafu. Sasa hivi hata sifikilii kuhusu nguo za kuvaa, wife ana deal vizuri na hilo.
3. Kabla ya kuoa nilikuwa nateswa sana na njaa ya sex ( nyege) inafikia wakati umekaa kwenye daladala unashangaa baba wa taifa anasimama bila sababu.Sasa hivi mke wangu ananitosheleza vizuri.
4. Nilikuwa nateswa na stress za kazi. Nikitoka job na stress, najifungia ndani na stress zangu, nakosa hata usingizi. Sasa hivi nikitoka job nikifika home tu stress zinaisha kesho yake nakuwa mtu mpya.
5. Nilikuwa nakwepa kupokea wageni sababu nyumbani kwangu mazingira yalikuwa hovyo. Sasa hivi natamani kupokea wageni, na wageni wakija wanaondoka wamefurahi.
6. Nilikuwa nateswa na underweight, nguo hazikai kiunoni sababu ya kukonda kupitiliza. Sasa hivi nalazikika kufanya mazoezi kuepuka overweight.
7. Jumamosi naamka asubuhi nakula chakula cha kiume( morning Glory) kisha nalala tena nasubiri kuamshwa kupata breakfast 😀.
NEGATIVES
1.Matumizi ya pesa ya matunzo kwa mke kama nguo, kusuka, mafuta, kumtoa out siku moja moja.
2. Kukosa uhuru wa kufanya ninacho taka nikiwa kwangu kama vile kuweka Chanel ya TV ninayo taka ( sasa hivi nalazikika kuangalia vitu vya kijinga kama juakali)
3. Kukosa uhuru wa kutoka na kurudi muda ninao taka.
4. Maudhui madogo madogo ya wanawake kama kununa kwa sababu za kijinga na kudeka.
5. Sasa hivi sifanyi vitu kwa kujiangalia mwenyewe lazima nimfikilie na mke wangu.
NB: ndoa ina postives na negatives, ombea postives ziwe nyingi na negatives ziwe zinazo vumilika. Usiwasikilize team kataa ndoa, ni losers. Za kuambiwa changanya na zako
Hongera mkuuYeah. Ndoa inahitaji unyenyekevu. Mtu mwenye kiburi, jeuri na mbinafsi anajifikilia yeye tu ndoa haimfai. Sisi tumekaa tukaorodhesha tabia ambazo kila mmoja wetu hazipendi kwa mwenzake na tumeahidiana mwaka 2025 kuziacha, na tunaombeana kuzishinda.
Hapo kwenye Tv,mmh noma sana!Haya ni mabadiriko ya maisha yangu baada ya kuoa.
POSITIVE.
1. Kabla ya kuoa nilikuwa naweza lala bila kula au nikala mkate na juisi tu nikalala ila sasa nikitoka kazini na njaa nakuta mke wangu amenipikia chakula nikipendacho.
2. Kabla ya kuoa nilikuwa naweza amka asubuhi,nataka kwenda kazini nakuta nguo zote chafu. Sasa hivi hata sifikilii kuhusu nguo za kuvaa, wife ana deal vizuri na hilo.
3. Kabla ya kuoa nilikuwa nateswa sana na njaa ya sex ( nyege) inafikia wakati umekaa kwenye daladala unashangaa baba wa taifa anasimama bila sababu.Sasa hivi mke wangu ananitosheleza vizuri.
4. Nilikuwa nateswa na stress za kazi. Nikitoka job na stress, najifungia ndani na stress zangu, nakosa hata usingizi. Sasa hivi nikitoka job nikifika home tu stress zinaisha kesho yake nakuwa mtu mpya.
5. Nilikuwa nakwepa kupokea wageni sababu nyumbani kwangu mazingira yalikuwa hovyo. Sasa hivi natamani kupokea wageni, na wageni wakija wanaondoka wamefurahi.
6. Nilikuwa nateswa na underweight, nguo hazikai kiunoni sababu ya kukonda kupitiliza. Sasa hivi nalazikika kufanya mazoezi kuepuka overweight.
7. Jumamosi naamka asubuhi nakula chakula cha kiume( morning Glory) kisha nalala tena nasubiri kuamshwa kupata breakfast 😀.
NEGATIVES
1.Matumizi ya pesa ya matunzo kwa mke kama nguo, kusuka, mafuta, kumtoa out siku moja moja.
2. Kukosa uhuru wa kufanya ninacho taka nikiwa kwangu kama vile kuweka Chanel ya TV ninayo taka ( sasa hivi nalazikika kuangalia vitu vya kijinga kama juakali)
3. Kukosa uhuru wa kutoka na kurudi muda ninao taka.
4. Maudhui madogo madogo ya wanawake kama kununa kwa sababu za kijinga na kudeka.
5. Sasa hivi sifanyi vitu kwa kujiangalia mwenyewe lazima nimfikilie na mke wangu.
NB: ndoa ina postives na negatives, ombea postives ziwe nyingi na negatives ziwe zinazo vumilika. Usiwasikilize team kataa ndoa, ni losers. Za kuambiwa changanya na zako
Hakuna mtu mkamilifu. Hata mshikaji wako anaweza kupa kero ndogo ndogo ila huwezi kusema usiwe na rafiki uwe mwenyewe mwenyewe.Hakupi kero kubwa ila anakupa kero, ungekua mwenyewe hizo kero usingezipata. Kukishakua na kero, whether kubwa ama ndogo bado ni hasara.
Unaoa ili iweje hasa?
Twafwa!Ndoa ni nzuri wakikutana wawili wanaoelewana.kila mmoja anatimiza wajibu wake bila kulazimishwa.ama alishindwa anajieleza.
Ila Sasa wakikutana wawili wenye viburi vyao kutoka kwenye makuzi Yao huko🙆
Kufweni.si mlichagua wenyeweTwafwa!
Kwani mkuu unapo ajiriwa kwenye kampuni ya mtu au serikalini si unapoteza uhuru na unakutana na kero mbali mbali? Mbona hauachi kazi? Kwa sababu kuna manufaa makubwa unayapata ( kipato) ukilinganisha na hizo negatives unazo kutana nazo. Hata mvua ni nzuri ila inaleta tope na vingine, hatuwezi sema tukatae mvua.Umepoteza uhuru wa kufanya unachokipenda, unaudhiwa na mtu mwingine bila sababu, kati ya kataa ndoa na wewe ulieoa, wewe ndio loser na umesema mwenyewe kwamba umepoteza uhuru, maana yake uko jela, sasa alieko jela na alie huru ni nani loser?
1,2,3 naona zimekaa kiuonevu sana dhidi YakoNegative ipi hiyo mkuu ili nijipange?