Mabadiliko ya mtindo wa maisha wa vijana;Je, vijana wa Leo wanaishi vipi tofauti na vijana wa miaka 20-30 iliyopita?

Mabadiliko ya mtindo wa maisha wa vijana;Je, vijana wa Leo wanaishi vipi tofauti na vijana wa miaka 20-30 iliyopita?

LoneJr

Senior Member
Joined
May 18, 2024
Posts
169
Reaction score
247
Habari wakuu, kama namna mjadala unavyojieleza ni mabadiliko yapi ya mtindo wa maisha wa vijana wa sasa yapo tofauti na vijana wa miaka 20 -30 iliyopita? Hasa kwa kuzingatia;

Lifestyle ya ''hustle culture ''
- Je, vijana wanavutiwa na maisha ya ''hustle''[kujibidiisha kufanya kazi nyingi kwa lengo la mafanikio ya haraka]?

Mabadiliko ya uhusiano na familia
-Je, vijana wanapata changamoto gani katika kudumisha uhusiano wa familia au kijamii kutokana na mabadiliko ya mtindo wa maisha?

Nawasilisha.
 
mnatusengenya si ndivyo..?
Kama mnaona vijana wasasa ni wa hovyo basi waliofeli ni wazazi na walezi maana hao ndio huandaa njia ya mtoto, so kama mtatuchapa sisi kwa kuwa na tabia za hovyo basi nanyinyi mpigwe mabanzi ya shingo kwa malezi ya hovyo!.

kwanza UTANDAWAZI umewapiga ngumi wazazi maana umekuja kuharibu tabia za watoto!, ilitakiwa wazazi wawe mstari wa mbele kuhakiki watoto wao hawadumazwi na utandawazi!.. angalieni nchi kama korea ukikamatwa na video za x shughuli unayo lkn huku mliziachia vijana sasa tunalambana mpk shetani akiangalia kwenye vitabu vyake vya dhambi anasema "hii mbona haipo wameitoa wapi hawa!".

kuna vitu mnaruhusu nyinyi wenyewe mfano kipindi kile cha pombe za viroba alileta nani kama sie nyie mnaruhusu huko!.
makampuni ya kubeti na ajira ndo kama hivyo unataka vijana wafanyeje..
hamjawaandaa kisaikolojia, elimu yenyewe ndo hii yakuchapana viboko!.

Oya mkileta za kuleta ipo siku tutapigana vifuti pasikalike...😂
 
mnatusengenya si ndivyo..?
Kama mnaona vijana wasasa ni wa hovyo basi waliofeli ni wazazi na walezi maana hao ndio huandaa njia ya mtoto, so kama mtatuchapa sisi kwa kuwa na tabia za hovyo basi nanyinyi mpigwe mabanzi ya shingo kwa malezi ya hovyo!.

kwanza UTANDAWAZI umewapiga ngumi wazazi maana umekuja kuharibu tabia za watoto!, ilitakiwa wazazi wawe mstari wa mbele kuhakiki watoto wao hawadumazwi na utandawazi!.. angalieni nchi kama korea ukikamatwa na video za x shughuli unayo lkn huku mliziachia vijana sasa tunalambana mpk shetani akiangalia kwenye vitabu vyake vya dhambi anasema "hii mbona haipo wameitoa wapi hawa!".

kuna vitu mnaruhusu nyinyi wenyewe mfano kipindi kile cha pombe za viroba alileta nani kama sie nyie mnaruhusu huko!.
makampuni ya kubeti na ajira ndo kama hivyo unataka vijana wafanyeje..
hamjawaandaa kisaikolojia, elimu yenyewe ndo hii yakuchapana viboko!.

Oya mkileta za kuleta ipo siku tutapigana vifuti pasikalike...😂
Nimelia kwa sauti 😁 😁 😁
 
Back
Top Bottom