Kijana wa Mzee Mgonja tuliaVijana wa sasa ni wa ovyo tu hawapaswi hata kulinganishwa na sisi wa miaka hiyo.
Kushaini kivip au kipesa π€ kwa sababu hata mpumbavu anaweza kupata pesa kuwaonyesha wapumbavu ,upumbavu na wakamlipa.Kwanini π π ama kwa vile wa sasa wanashaini sana
Meku mimi nawajua na wengi ni masela zangu tu huwa wananiita mzee kijana na wachora tuπππKijana wa Mzee Gonja tulia
Mkuu, ujue hao vijana wa sasa, wametokana na malezi ya vijana wa miaka 20-30 ilopita.Vijana wa sasa ni wa ovyo tu hawapaswi hata kulinganishwa na sisi wa miaka hiyo.
Kila kizazi kulikua na watu smart na watu wababaishajiMeku mimi nawajua na wengi ni masela zangu tu huwa wananiita mzee kijana na wachora tuπππ
Nimelia kwa sauti π π πmnatusengenya si ndivyo..?
Kama mnaona vijana wasasa ni wa hovyo basi waliofeli ni wazazi na walezi maana hao ndio huandaa njia ya mtoto, so kama mtatuchapa sisi kwa kuwa na tabia za hovyo basi nanyinyi mpigwe mabanzi ya shingo kwa malezi ya hovyo!.
kwanza UTANDAWAZI umewapiga ngumi wazazi maana umekuja kuharibu tabia za watoto!, ilitakiwa wazazi wawe mstari wa mbele kuhakiki watoto wao hawadumazwi na utandawazi!.. angalieni nchi kama korea ukikamatwa na video za x shughuli unayo lkn huku mliziachia vijana sasa tunalambana mpk shetani akiangalia kwenye vitabu vyake vya dhambi anasema "hii mbona haipo wameitoa wapi hawa!".
kuna vitu mnaruhusu nyinyi wenyewe mfano kipindi kile cha pombe za viroba alileta nani kama sie nyie mnaruhusu huko!.
makampuni ya kubeti na ajira ndo kama hivyo unataka vijana wafanyeje..
hamjawaandaa kisaikolojia, elimu yenyewe ndo hii yakuchapana viboko!.
Oya mkileta za kuleta ipo siku tutapigana vifuti pasikalike...π
Vijana wa miaka 20-30 nyuma ndo wazazi wa vijana wa sasa.Kivipi mkuu, fafanua
Sure ,ni kwel kabisa ila hawa wa buku 2000 wamezidi πKila kizazi kulikua na watu smart na watu wababaishaji
Najua mkuuMkuu, ujue hao vijana wa sasa, wametokana na malezi ya vijana wa miaka 20-30 ilopita.