Mkuu unajua kuwa mimi sijawahi kukasirika hata kidogo? Huwa sioni haja ya kufanya hivyo hata siku mojaππ Acha makasiriko ya buku mia tisa
Hawashain kwa lolote wanajitia njaa wenyewe,wakati wangu mimi nikiwa aged 22 nimenunua kiwanja 3.1mill sehemu napoishi leo nikiwa 23 nikanunua sehemu nyengine nikiwa 25 nikaanza ujenzi 28 nikaoa 31 nikahamia kwangu.Kwanini π π ama kwa vile wa sasa wanashaini sana
Life hustle, lakini ni vipi kijana ataweza uvuka huo mtego wa mitandao bila kuwa na force kutoka kwa watu wanaomzunguka[direct inspiration]?Kijana bora wa sasa ni yule mwenye uwezo mzuri wa kuitumia teknolojia in positive way .
Baishara zote zinafanyika online
Kazi zibatafutwa online
Mke /Mme anatafutwa online
Kusoma ni online pia .
Vijana around 20-40 wa Tanzania bado wanaamini mitandaoni ni sehemu ya showoff , sehemu ya Kupost makalio na kutukana watu.
Na kusahau sehemu sahihi ambayo unabidi ku-exist ukiwa decent ni mitandaoni pekee.
Tumekopy kwenu wazazi πHawashain kwa lolote wanajitia njaa wenyewe,wakati wangu mimi nikiwa aged 22 nimenunua kiwanja 3.1mill sehemu napoishi leo nikiwa 23 nikanunua sehemu nyengine nikiwa 25 nikaanza ujenzi 28 nikaoa 31 nikahamia kwangu.
Leo kijana anapiga winga kazi yenyewe maalumu hana lakini anawaza kununua simu ya 1.3mill kisa ina kamera kali huku amepanga chumba kimoja sijui akili za watu wa miaka hii zime-copy wapi vitendo wanavyofanya.
Mkuu kama furaha yako ipo kwenye camera kali wala usijinyime kabisa .Hawashain kwa lolote wanajitia njaa wenyewe,wakati wangu mimi nikiwa aged 22 nimenunua kiwanja 3.1mill sehemu napoishi leo nikiwa 23 nikanunua sehemu nyengine nikiwa 25 nikaanza ujenzi 28 nikaoa 31 nikahamia kwangu.
Leo kijana anapiga winga kazi yenyewe maalumu hana lakini anawaza kununua simu ya 1.3mill kisa ina kamera kali huku amepanga chumba kimoja sijui akili za watu wa miaka hii zime-copy wapi vitendo wanavyofanya.
Life hustle, lakini ni vipi kijana ataweza uvuka huo mtego wa mitandao bila kuwa na force kutoka kwa watu wanaomzunguka[direct inspiration]
ππJF kua wa Afu 2 ni kisanga sanaSure ,ni kwel kabisa ila hawa wa buku 2000 wamezidi π
Wala siwezi waonea coz mtoto wangu pia yupo kwenye umri wa kwenu .Usituonee sasa sie wa buku mbili jero π
Mkuu kwani wewe ni wa afu 2 ?πππππJF kua wa Afu 2 ni kisanga sana
Hakuna mzazi wa hivi mkuu,labda kama wazazi uliowaona wewe ni wale waliokuwa wanaamkia club na kukesha bar.Tumekopy kwenu wazazi π
Sasa kama si kwenu wazazi ni vipi utasema kwamba tulia evolve from nowhere Kisha tukajipa majina kwa ubin wenu then all in sudden tabia za hovyo zikatuvaa π²Hakuna mzazi wa hivi mkuu,labda kama wazazi uliowaona wewe ni wale waliokuwa wanaamkia club na kukesha bar.
HIvi sasa ni machawa ila 20 30 ago walikuwa wazale do halisi na sii machawa kama chawa waleoila sasa cha kutikosa ni kuwa waliokuwa 20 30 wakati huo hii leo wamegeuka wafuga chawa wezi,walarushwa,wahujumu uchumi na masifadi nani ya taifa giza,taifa la kusadikika.Habari wakuu, kama namna mjadala unavyojieleza ni mabadiliko yapi ya mtindo wa maisha wa vijana wa sasa yapo tofauti na vijana wa miaka 20 -30 iliyopita? Hasa kwa kuzingatia;
Lifestyle ya ''hustle culture ''
- Je, vijana wanavutiwa na maisha ya ''hustle''[kujibidiisha kufanya kazi nyingi kwa lengo la mafanikio ya haraka]?
Mabadiliko ya uhusiano na familia
-Je, vijana wanapata changamoto gani katika kudumisha uhusiano wa familia au kijamii kutokana na mabadiliko ya mtindo wa maisha?
Nawasilisha.
Nani wa kulaumiwaHIvi sasa ni machawa ila 20 30 ago walikuwa wazale do halisi na sii machawa kama chawa waleoila sasa cha kutikosa ni kuwa waliokuwa 20 30 wakati huo hii leo wamegeuka wafuga chawa wezi,walarushwa,wahujumu uchumi na masifadi nani ya taifa giza,taifa la kusadikika.
Wanaojiita wazalendo,kwa hadaa kwa taifa giza,huku ni wazalendo uchwara.Nani wa kulaumiwa
Shindwaaaaaa!Mkuu kwani wewe ni wa afu 2 ?πππ