Spartacus boy
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,727
- 3,464
Umeipatia wapi??Am done mkuu!! Kumbe kosa langu nilikuwa natumia ile free basics ya zamani ya maandishi ya pink, ila nimeipata iliyoko currently active.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeipatia wapi??Am done mkuu!! Kumbe kosa langu nilikuwa natumia ile free basics ya zamani ya maandishi ya pink, ila nimeipata iliyoko currently active.
Nimeichukua hyo ila mbn jamii forum siioni humoShukrani nimeipata , ina unyama mwingi sana sasa naifutilia mbali ile takataka nyingine ambayo play store wamejipa kipaumbele..
[emoji23][emoji23]Wanao anzisha nyuzi kila siku alafu hazina maana wapigwe ban wanakera.
Ukiiifunga kwa mara ya kwanza unashtuka mpk sehemu iliyoandikwa verify free internet hapo unaingia rasmi kisha unashuka chin kabisa mpk sehemu ya ongeza huduma zaidi utaikuta Jf au utaisearch kwa urahisi zaidi.Nimeichukua hyo ila mbn jamii forum siioni humo
[emoji15][emoji15][emoji15] next page?Hii yenu Mpya ina ugumu mwingi sana, nimejaribu nimeiondoa nikaenda pakua hii niliyozoea kutoa PLAY STORE tu. Yaan Nashauri muiboreshe hii ya kwenye Play store iwe muonekano ule. Thread unashuka nayo afu uanze tena kurequest next page?? No
Mbona mi sipati notification?
Kuna watu tunawablock ila bado wakianzisha mada twaona mada zao
Kwanini msiweke ukimtia mtu block usione mada yoyote anayoanzisha wala hata changizo zake zozote zile
Pia kwanini msituwekee uwezo wa kuzuia mada fulani, tusizione kabisa ie mada za kukashfu dini za wengine etc
Mkuu usisahau kitufe cha dislike[emoji23]
Katika kitu kinaniudhi ni kumuignore mtu halafu bado naona post zake, inatakiwa hata wewe mmiliki wa jf nikikublock basi nisione hata kope yako hapa ikipepea.
Umetisha saanaUkiiifunga kwa mara ya kwanza unashtuka mpk sehemu iliyoandikwa verify free internet hapo unaingia rasmi kisha unashuka chin kabisa mpk sehemu ya ongeza huduma zaidi utaikuta Jf au utaisearch kwa urahisi zaidi.
I like this commentMhhhhh... Nadhani tufikirie nje ya box. Tunaweza tengeneza solution ya kusaidia graduates kupata kazi na kuwaunganisha na wenye uhitaji wa watu wa fields husika.
Unalionaje pendekezo hili?