Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni CCM ipi?Hello!
Maxence Melo brother habari yako!
Please tuondolee hii feature mpya ya JF.
Mbaya
Mbaya
Mbaya zaidi.
Sure.Wanahukum bila kumsikiliza mhusika.No Democracy hereNiweke neno kwa Melo kabla hamjapiga watu ban wapewe nafasi ya kusikilizwa na kuonywa ikiwezekana.
Angalia nilivyo reply ni unyama sana.Mkuu Maxence Melo huu muonekano mpya unaumiza macho,rudisheni ule wa zamani mkiwa mnaendelea kuuboresha huu mpya.
Dark mode huijui?Hii ondoeni haraka...mvuto hakuna..imepauka hatari
Dark mode haipo kwako?Mmezingatia uwepo wa wenye uoni hafifu? Muonekano gani huu unaumiza macho hivi? Umepaukaaa😏
Naunga mkono hojaHello!
Maxence Melo brother habari yako!
Please tuondolee hii feature mpya ya JF.
Mbaya
Mbaya
Mbaya zaidi.
Firahisha = FurahishaAse kama hui mwonekano kuna watu unawafirahisha unaonaje Maxence Melo mkituwekea Option pale ya sie tunaohitaji ile ya awali kuendelea nayo?
Kwamba pale kwenye preference, Night Mode, Blue Mode ongezeni Moja ile ya Old Mode...
Hii ya sasa naona iko special kwa wabovu wa macho!
Maandishi makubwa mno, hizo fonts za awali zilikuwa nzuri zaidi!
Kweli tuwekewe option ya old mode , mimi tatizo font size maandishi yanajaa mno comments mbili zinajaa kipo japo siitumii tecnoAse kama hui mwonekano kuna watu unawafirahisha unaonaje Maxence Melo mkituwekea Option pale ya sie tunaohitaji ile ya awali kuendelea nayo?
Kwamba pale kwenye preference, Night Mode, Blue Mode ongezeni Moja ile ya Old Mode...
Hii ya sasa naona iko special kwa wabovu wa macho!
Maandishi makubwa mno, hizo fonts za awali zilikuwa nzuri zaidi!
🤣🤣🤣🤣Hii ondoeni haraka...mvuto hakuna..imepauka hatari
😂😂😂 Typing error mwambaFirahisha = Furahisha
Kabisa, hii inaboa kwa baadhi yetu kama mie na wengineoKweli tuwekewe option ya old mode , mimi tatizo font size maandishi yanajaa mno comments mbili zinajaa kipo japo siitumii tecno