Mabadiliko ya Sheria Subsection 47A kwenye Criminal Procedure Act (CPA) yanaenda kumuokoa Luteni Urio na Polisi wote wahusika kwenye kesi ya Mbowe

Kwani hii kesi si imeshaanza?kama nna kumbukumbubu vizuri kesi ikishaanza inahukumiwa kwa sheria zilizokuwepo wakati kesi inaanza,na sio sheria mpya iliyotungwa wakati kesi inaendelea,na hii ni hekima ya wazee kuepusha mahakama kugeuzwa kichekesho maana kama tukiamua uhuni wa hivyo ufanyike,imagine kitakachoendelea duniani...mahakama itakuwa kituko na kichekesho..maana mwenye nguvu akiona kesi imembana anaenda kupindua vifungu vimpendelee,si vichekesho?!dont tell me tushafika huko..mleta mada kama ni kweli tumefika hapo embu nihakikishie ili nianze kucheka hapa!!we will be finished as a nation.
 
Tanzania Sheria hurudi nyuma. Ni muhimu uelewe kuwa Tanzania ni taifa lisilo na stands, mfano wa Sharia retrospective ni Ile ya bodi ya mikopo ya elimu ya juu.
Ku retrospect Sheria ya Bodi ya mikopo ulikuwa udikiteta uliokomaa.
 
Mkuu tunaelekea huko ...hii itapitishwa kwa dharura.. Itapelekwa haraka kwa chief Hangaya..
Kutumika sasa hivi italeta aibu.. Ila Serikali haina aibu.. Unaweza shangaa ikatumika mahakama ya rufani kama kesi itafika huko japo pia ni aibu
 
Lakini Urio ni military personnel sio police, hivyo kwa mujibu wa hiyo sheria he has no any excuse unless otherwise the contrary is proven.
 
Haitoweza kutumika kwenye kesi hii kwa sababu imetungwa wakati kesi tayari imeanza kusikilizwa ivyo haina uhalali kwa kesi hii,labda kesi zijazo
Sheria ya Bodi ya mikopo mbona ilitumika
 
Lakini Urio ni military personnel sio police, hivyo kwa mujibu wa hiyo sheria he has no any excuse unless otherwise the contrary is proven.
Wewe hii nchi huijui, Kaa kimya
Huyo millitary personnel kibali si alikipata kwa Director of criminal Investigation yaani DCI Boaz wakati huo au?
 
EE Mola wetu utuokoe maana shetani anazidi kujiinua kutoka kuzimu ili kutesa watu wako😪
 
Ina maana kuwa polisi wameruhusiwa kufanya uhalifu kwa kisingizio cha kuwa “undercover”

Wasiojulikana watafanya uhalifu wakilindwa na sheria. Duh!
 
Mboe alikuwa na "NIA OVU" ndio maana alinaswa kwenye mtego ulikuwa umewekwa na Ltn. Urio.
kama mboe asingekuwa mtu muovu/mhalifu asinge nasa.
Hapo ndipo utagundua tofauti kati ya Mtu mwenye ELIMU na asiye na Elimu.
alifanya mambo ya kijinga kijinga kweli bila hata kutafakari!
Duh! failure!
 
Mkuu tunaelekea huko ...hii itapitishwa kwa dharura.. Itapelekwa haraka kwa chief Hangaya..
Kutumika sasa hivi italeta aibu.. Ila Serikali haina aibu.. Unaweza shangaa ikatumika mahakama ya rufani kama kesi itafika huko japo pia ni aibu
Aisee,hivi hawa wanasiasa wanajua wanakotupeleka lakini?hivi hii nchi haina deep state?!eti Tumia akili hao jamaa zenu wana kazi gani ikiwa nchi inapitia vitu vya ajabu hivi?!mnaelewa madhara ya hili suala kwa baadae?!mnataka kuharibu ustawi wa nchi wote wa baadae kwa kusolve hizi ishu za muda mfupi?!20 years to come inawezekana kusiwe na Mbowe wala Chadema but you wanna ruin the whole country and its future generations kwa kujenga precedence za ajabu hivi ili tu kumkomoa mtu mmoja?!dah!najua waafrika tuna shida ila sikujua tuna shida kubwa hivi!
 
Hata hivyo, hayo marekebisho yanamtaja Police officer pekee. Lut. Urio sio police officer
Ndio maana ya watu kutwa kutoa maoni, inaweza kuongeza au ikabadilishwa kuwa security officer.
 
Kosa huwa kosa kwa sheria iliyopo usiwe mjinga,sio kosa la jana sheria ya kesho hili halipo jisomee vitabu
 
Bibi Sultan....hata kwa mababu haikuwa namna hiyo
 
Wewe hii nchi huijui, Kaa kimya
Huyo millitary personnel kibali si alikipata kwa Director of criminal Investigation yaani DCI Boaz wakati huo au?
Unachokisema ni kweli kabisa lakini sheria imemtaja askari wa jeshi gani? Je kwa wakati huo Urio alibadiishwa na kuwa polisi?

Pia kuna concept ya "retrospective of the law" sheria haitumiki kurudi nyuma unless otherwise it has been stated by itself. Hivyo kwa kutumia maelezo hayo Urio hana kinga labda Waamue Waamue kufanya waliyopaga.[emoji120][emoji120]
 
Nyie watu wa ajabu sana,yaani hiyo kesi kesi gani kila siku mnajadili upuuzi.
 
Reasoning ya vijana inakuwa clouded na siasa .... Sasa marekebisho haya jinsi yalivyo (ukiachana na kesi ya mbowe) yanaathari gani negative?

Cause ukweli ni kwamba haikuwa mission yake ila alitumwa then deal na aliyemtuma period!

Unashabikia kupiga tobo na chenga while score board inasoma mmepigwa 7 - 0
 
ACHA ujinga MbowesioGaidi malipo Ni hapa hapa duniani litakutokea na wew usingiziwe Utajuta!mmbw wew
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…