The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
Mabadiliko ya sheria za uchimbaji madini ya mwaka 2017 imechangia kuingiza Trilioni 7.2 kwa miaka 6 kwenye mfuko mkuu wa serikali ambazo zisingepatikana kama hakungekua na mabadiliko ya sheria hiyo.
Hii ni sawa na wastani wa Trilioni 1.2 kwa mwaka inatotokana na mabadiliko ya hiyo sheria kwenye mfuko mkuu wa serikali.

Hii ni sawa na wastani wa Trilioni 1.2 kwa mwaka inatotokana na mabadiliko ya hiyo sheria kwenye mfuko mkuu wa serikali.
The mining reforms introduced in 2017 has added 7.2trn/- to the national coffers in 6 years earned through the sale of different minerals. The reforms led to the creation of at least 44 gold trading centers and other 70 minerals trading centers in some districts across.