Mabadiliko ya Sheria ya Madini ya mwaka 2017 imechangia kuongeza Trilioni 7.2 kwenye mfuko mkuu wa serikali kwa miaka 6

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,017
Reaction score
19,506
Mabadiliko ya sheria za uchimbaji madini ya mwaka 2017 imechangia kuingiza Trilioni 7.2 kwa miaka 6 kwenye mfuko mkuu wa serikali ambazo zisingepatikana kama hakungekua na mabadiliko ya sheria hiyo.

Hii ni sawa na wastani wa Trilioni 1.2 kwa mwaka inatotokana na mabadiliko ya hiyo sheria kwenye mfuko mkuu wa serikali.

 
Watakuja vikaragosi vya Ufipa kusema ni sera kandamizi

USSR
 
Nasikia Chadema, wataka serikali uondoke 16 Oct ya share ili kuvutiwa wawekezaji
 
Tusio mpenda hayati Magufuli karibuni kwa matusi yaliyo bora kabisa
 
Mabadiliko ya sheria za uchimbaji madini ya mwaka 2017 imechangia kuingiza Trilioni 7.2 kwa miaka 6 kwenye mfuko mkuu wa serikali ambazo zisingepatikana kama hakungekua na mabadiliko ya sheria hiyo.

Hii ni sawa na wastani wa Trilioni 1.2 kwa mwaka inatotokana na mabadiliko ya hiyo sheria kwenye mfuko mkuu wa serikali.
 
Uchumi unazidi kuimarika kipindi hiki cha uongozi wa Rais Samia Suluhu hajabadili sheria ya madini tu bali amefanikisha kubadili sera ya biashara na uwekezaji sasa watanzania tunanufaika na fursa za ajira zitokanazo na uwekezaji pia wafanyabiashara wanaendelea kuimarika kiuchumi maana sheria kandamizi zimeondolewa

hakika Rais Samia Suluhu anaupiga mwingi kuhakikisha Tanzania inazidi kukua kiuchumi
 
Chagagang wanasemaje kuhusu hili

USSR
 
Halafu mbwa wasafishao watoto kwa kuwalamba baada ya kujisaidia wanasema Mafufuli hakufanya chochote!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…