SoC04 Mabadiliko ya tabia ya nchi

SoC04 Mabadiliko ya tabia ya nchi

Tanzania Tuitakayo competition threads

Mnadi Sixson

New Member
Joined
Jun 9, 2024
Posts
2
Reaction score
0
Ili kuweza kudhibitiana na mabadiliko ya tabia ya nchi nivema serikali ikaanzisha kitengo kipya kitakachoanzia ngazi ya mtaa/Kijiji hadi taifa watakaokuwa wanashughulikia suala la upandaji wa miti na utunzaji mazingira.

Hii itafanya kauli mbiu ya "kata mti panda mti" kufanikiwa tofauti na sasa miti mingi inakatwa bila kupandwa mingine.
 
Upvote 1
Back
Top Bottom