Bora jamani, ulitumia muda ganiPole sana ndugu mimi nilishonwa nyuzi sita nilikua najiogopa lakini taratibu nilirud km nilivokua mwanzo
maji moyo na chumvi ilinisaidia Sana,nimemwambia kitu Nina evidence nacho.Bidada;
Punguza mihemuko. Hakuna mwanamume mwenye akili timamu atachepuka kwa siku hizo chache ulizo kaa ulipojifungua. Hayupo. Ila, kwa sababu za kutojiamini kwako una mawazo kuwa atachepuka tu. Wapo wamama wenzio hujidhalilisha kwa waume zao hadi kutoa tigo ati aone tofauti. Nasema. punguza mihemko.
K hurudi vizuri tu hadi ushangae. Huna haja ya kuweka vitu humo ili ibane. Mwingine amekuambia ati Kalia majiya moto na chumvi, huogopi kuchubuka?? Wengine ati bana mkojo. Anayajua maumbile ya K au?? Utaubanaje mkojo?
Tulia, jitahidi usafi sana, Ikiwezekana ongeza ufundi wa mapenzi hata fikia kulamba koni hakikisha kuwa humnyimi usingizi kwa madai yaso na maana; Umechelewa wapi, umetoka wapi. Mbona leo umenuna, mbona sm yako iliita usiku ule etc. Nenda kwa maombi saana, sikuambii uende kanisani bali hapo hapo chumbani omba sana akusikie. Mwombee ulinzi na baraka. Atabadilika tu.
Swali chokonozi; Ulimpindua mwingine au ulimwibia mwingine kwenye uchumba??? Usiogope, weye ni maza hausi fulu. Mtoto wako mzima lakini?? Angalia usimletee mdogo wake mapema kwa hofu ya micheps isokuweko. Jipe moyo kuwa; Hao wengine wote "majizi tu" wewe ndo malkia
HaswaaaaTatizo mnawahi hata hamjapona vema.jipe mda mamii,usiwaze atachepuka wakati hata ukimpa anachepuka.
pili mtoto akizaliwa mambo huwa mengi wanaume hawapendi kelele za watoto so hutafuta pa kujiliwaza.
dawa ya komesha micheps ni maombi,Anza Leo haraka Sana,kwa akili zako huwezi.
Kama walikushona vizuri hakuna shida...utakuwa kama bikira vile...Nulichanika saaaana mkuu kama nyuzi nne hivi.
Kuna mambo mengine kuyabadili ni kazi sana, sasa mtoto wa 2 afu unataka ibane kama ya mtoto wa darasa la 3?Wana jf
Habari za jumapili.
Nimejifungua mtoto Wa pili miezi 6 iliyopita! Kuna uwezekani wa uke kuendelea kubana hata baada ya kujifungua..
Ninajitahidi sana sana kufanya kegel exercises kila mara.
Nitajuaje kuwa uke wangu sasa umeanza kubana kama awali..
Naombeni msinibeze Bali mnifahamishe namna nzuri ya kudeal na maumbile haya mapya...
Nina uchungu sana shemeji yenu alikuwa akinipenda na kunisifia sana kabla ya mtoto Wa pili,, now days ni michepuko hadi nakoma so nahisi ni sababu ya maumbile ya k yamepanuka sana!
Mkuu lete uzoefu wako.Hmmmm! Nasikia hii ya kuchuchumaa na kuinama kwa mara ya kwanza.
Sikuwahi kutumia maji ya moto...tena mama huyapiga marufuku kwa binti zake wote....Yaani hii ya maji ya baridi ndiyo nilitaka niongeze, ulaya wazazi wanapewa mkanda ulijazwa barafu ndani wanazungusha kiunoni na wanapona vizuri tu hawatumii maji ya moto.
Kwanza hospitalini walinishaur nikiwa naoga nibane miguu, maji ya moto yasifike huko baada ya kumaliza kuoga unajisafisha na maji ya uvuguvugu, alikuja rafikiangu akaniambia nikiwa naswaki niingize mswaki ndani kinywani yaan unakua kama unataka kutapika ile inasaidia misuli kujikaza na kubana pia nilifanya ivo baada ya miez minne nilianza kuona mabadiliko mwaka ulipoisha nikawa wakawaida kabisaBora jamani, ulitumia muda gani