Mabadiliko ya uke baada ya kujifungua

Mabadiliko ya uke baada ya kujifungua

Hauwez kubana naona wanakupa moyo tu,,hautaweza kubana tenaa mpka ufe,,,hata ufanye mazoez ya namna gan haiwezekan,,ni sawa na kukatwa nyuzi haziwez kurud hata uimbe nyimbo zote duniani... Kwanza unataka ubane ili nini?? Ungetaka uendelee kubana usingezaa au ungezaa kwa kisu,,, nazid kuamin wanawake hawajui wanachotaka kwa kwel... Pole kwa maneno yngu ila ukwel hauwez kua kama awali
 
Kuna operation zinafanywa kubana uke japo ni expensive lakin ni salama
 
Mwanaume anaempenda mkewe kwa sababu na kudikiri kusaliti ndoa yake takatifu yenye watoto wawili kiukwel huyo ana Laana na hajakupenda vzr,,inawezekana alikupendea mashine tyt,,sasa umeshafanya overhole mara mbili anaona huna ishu,,daaah pole sana ila kumbuka mume bora hachepuki hata uwe na hali gani.. Akichepuka huyo ameshakuxhoka na usiombe wanaume tukuchoke wakat una kachnga mmmmh utajuta
 
Kama mtoto ulimzaa na hukumdownload basi mabadiliko ni lazima na mpenzio hana budi kukupenda hivyo ulivyo.. Unless awe nautoto mwingi
OVA
 
Bidada;
Punguza mihemuko. Hakuna mwanamume mwenye akili timamu atachepuka kwa siku hizo chache ulizo kaa ulipojifungua. Hayupo. Ila, kwa sababu za kutojiamini kwako una mawazo kuwa atachepuka tu. Wapo wamama wenzio hujidhalilisha kwa waume zao hadi kutoa tigo ati aone tofauti. Nasema. punguza mihemko.
K hurudi vizuri tu hadi ushangae. Huna haja ya kuweka vitu humo ili ibane. Mwingine amekuambia ati Kalia majiya moto na chumvi, huogopi kuchubuka?? Wengine ati bana mkojo. Anayajua maumbile ya K au?? Utaubanaje mkojo?
Tulia, jitahidi usafi sana, Ikiwezekana ongeza ufundi wa mapenzi hata fikia kulamba koni hakikisha kuwa humnyimi usingizi kwa madai yaso na maana; Umechelewa wapi, umetoka wapi. Mbona leo umenuna, mbona sm yako iliita usiku ule etc. Nenda kwa maombi saana, sikuambii uende kanisani bali hapo hapo chumbani omba sana akusikie. Mwombee ulinzi na baraka. Atabadilika tu.
Swali chokonozi; Ulimpindua mwingine au ulimwibia mwingine kwenye uchumba??? Usiogope, weye ni maza hausi fulu. Mtoto wako mzima lakini?? Angalia usimletee mdogo wake mapema kwa hofu ya micheps isokuweko. Jipe moyo kuwa; Hao wengine wote "majizi tu" wewe ndo malkia
maji moyo na chumvi ilinisaidia Sana,nimemwambia kitu Nina evidence nacho.
 
Sababu ya Mtoto,akishafikisha at least mwaka upendo utarudi,kwa Sasa harufu ya maziwa,huwa wanaume wengi hawapendi,pili anahic hujapona vizuri
 
Kama hewa bado inatoka hujapona vizuri kwa ndani,ulishonwa vibaya,PIA acha kabisa kuinama na Kazi ngumu,kufua fua umekaa huku umebana miguu,me walinichana kuongeza njia episiotomy si mchezo,nilitulia one year nikapona fresh pakarudi normal.
 
Tatizo mnawahi hata hamjapona vema.jipe mda mamii,usiwaze atachepuka wakati hata ukimpa anachepuka.
pili mtoto akizaliwa mambo huwa mengi wanaume hawapendi kelele za watoto so hutafuta pa kujiliwaza.
dawa ya komesha micheps ni maombi,Anza Leo haraka Sana,kwa akili zako huwezi.
Haswaaaa

Unakuta wiki 3 tu anatoa mzigo kisa jamaa atachepuka
 
Wana jf
Habari za jumapili.
Nimejifungua mtoto Wa pili miezi 6 iliyopita! Kuna uwezekani wa uke kuendelea kubana hata baada ya kujifungua..

Ninajitahidi sana sana kufanya kegel exercises kila mara.
Nitajuaje kuwa uke wangu sasa umeanza kubana kama awali..

Naombeni msinibeze Bali mnifahamishe namna nzuri ya kudeal na maumbile haya mapya...

Nina uchungu sana shemeji yenu alikuwa akinipenda na kunisifia sana kabla ya mtoto Wa pili,, now days ni michepuko hadi nakoma so nahisi ni sababu ya maumbile ya k yamepanuka sana!
Kuna mambo mengine kuyabadili ni kazi sana, sasa mtoto wa 2 afu unataka ibane kama ya mtoto wa darasa la 3?
 
Ndoa ngumu!! Maumbile tu kubadilika tena kwa sababu zinazoeleweka mtu anachepuka mpaka basi! What if ungepata tatizo kikaondolewa kabisa(hatuombei ila nawaza tu) !!?
 
Yaani hii ya maji ya baridi ndiyo nilitaka niongeze, ulaya wazazi wanapewa mkanda ulijazwa barafu ndani wanazungusha kiunoni na wanapona vizuri tu hawatumii maji ya moto.
Sikuwahi kutumia maji ya moto...tena mama huyapiga marufuku kwa binti zake wote....

Na kama alishonwa maji ya moto ndio marufuku
 
Bora jamani, ulitumia muda gani
Kwanza hospitalini walinishaur nikiwa naoga nibane miguu, maji ya moto yasifike huko baada ya kumaliza kuoga unajisafisha na maji ya uvuguvugu, alikuja rafikiangu akaniambia nikiwa naswaki niingize mswaki ndani kinywani yaan unakua kama unataka kutapika ile inasaidia misuli kujikaza na kubana pia nilifanya ivo baada ya miez minne nilianza kuona mabadiliko mwaka ulipoisha nikawa wakawaida kabisa
 
Back
Top Bottom