Mabadiliko ya uke baada ya kujifungua

Mabadiliko ya uke baada ya kujifungua

Kuna uzi humu ndani umeeleza hizo mambo kwa maana ya njia za kurudisha uke kwnye hali yake, utafuta kwnye jukwaa la afya na istoshe Nenda Kairuki Hospital kama upo dar uonane na wataalamu au kama mkoani ni vyema ukaattend hospital za wilaya kwa msaada
Asante
 
Mke mwenza vipi nawe umeachika?
Wewe bhana!!....... Kila nikikushika pabaya unakimbilia kuniita mke mwenza!!.......kwa taarifa yako wewe kuniita mimi mke mwenza hainizuii kuendelea kukushika pabaya lol!!
 
Sasa mke mwenza mume si nimekuachia, mbona bado unaranda randa!!!
Kwa taarifa yako wewe kuniita mimi eti ni mke mwenza haitanizuia mimi kamwe kuendelea kukushika pabaya lol!!
 
Shemeji huwezi amini hiyo avatar yako ya leo imenigusa. [emoji4]
Izoee kwa muda kidogo kabla sijaibadili maana kuna watu washaanza kuumia mie kubadili badili avatar[emoji12]
 
Izoee kwa muda kidogo kabla sijaibadili maana kuna watu washaanza kuumia mie kubadili badili avatar[emoji12]
Hivi naweza kulipia uweke nayotaka mimi?
 
Wana jf
Habari za jumapili.
Nimejifungua mtoto Wa pili miezi 6 iliyopita! Kuna uwezekani wa uke kuendelea kubana hata baada ya kujifungua..

Ninajitahidi sana sana kufanya kegel exercises kila mara.
Nitajuaje kuwa uke wangu sasa umeanza kubana kama awali..

Naombeni msinibeze Bali mnifahamishe namna nzuri ya kudeal na maumbile haya mapya...

Nina uchungu sana shemeji yenu alikuwa akinipenda na kunisifia sana kabla ya mtoto Wa pili,, now days ni michepuko hadi nakoma so nahisi ni sababu ya maumbile ya k yamepanuka sana!
Yakipanuka sana, kiustaarabu huyo mpenzi wako anatakiwa aijaze! Kwa sisi wazoefu hilo ni swala dogo sanaaaaa! Hamna uke mdogo wala mpana bali ni jinsi jemedari anavyoingia kazini... Mtu wako kachemsha na kibamia chake... Chepuka..
 
Back
Top Bottom