Mabadiliko ya uke baada ya kujifungua

Mabadiliko ya uke baada ya kujifungua

Miezi ya mwanzo nilikuwa nikiinama kudeki au kutandika kitanda nasikia hewa inapita jamani... Wanawake wenzangu huwa mnapaweka nini?
Tuwekee ka picha wengine mpaka tuone ndio tunatililika Ma ushauri hebu ji selfie
 
Tatizo mnawahi hata hamjapona vema.jipe mda mamii,usiwaze atachepuka wakati hata ukimpa anachepuka.
pili mtoto akizaliwa mambo huwa mengi wanaume hawapendi kelele za watoto so hutafuta pa kujiliwaza.
dawa ya komesha micheps ni maombi,Anza Leo haraka Sana,kwa akili zako huwezi.
Una akili nyingi sana
 
Kwani ulichanika ? na kama ulichanika hawakukushona ?. Ila jamaa ana tabia mbovu tu uzazi hauwezi kuleta mabadiliko kiasi cha kukukimbia
 
Back
Top Bottom