Mabadiliko ya vifurushi: TTCL MB 1 kuuzwa kwa Tsh 2.50

Huu mwandiko ni kama wa gencymane
 
Bufee ilikuwa mkombozi sasa imekuwa sio!
 
Nilikuwa nanunua GB 1 kwa 1500 leo ni 2500


Angelikuwa ni RAILA ODINGA, angelikuwa ameshakuja na OPARESHENI OKOA BANDO.

Lakini hawa WAHUNI wetu, walianza na MAFISADI na sasa hivi wanakuja na KATIBA MPYA!

Sasa sijui hiyo KATIBA MPYA ndio itawapeleka IKULU! Yaani hawa WAHUNI wetu ni HOPELESS kabisa 😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…