Mabadiliko ya vifurushi: TTCL MB 1 kuuzwa kwa Tsh 2.50

Mabadiliko ya vifurushi: TTCL MB 1 kuuzwa kwa Tsh 2.50

Alfajiri nikiamka na kwenda Haja Kubwa ( Kupupu ) kabla ya Kuflashi Mzigo Uende nitaitupia pia na Line yangu ya TTCL ili nayo ipotee mazima na nitabaki tu sasa na Line yangu pendwa na ya miaka mingi ya Airtel ambayo hata Rangi yake tu Nyekundu na Nyeupe nazipenda kwakuwa zinawakilisha Rangi ya Timu yangu pendwa kabisa nchini Tanzania.
Huu mwandiko ni kama wa gencymane
 
Bufee ilikuwa mkombozi sasa imekuwa sio!
 
Nilikuwa nanunua GB 1 kwa 1500 leo ni 2500

IMG_20220820_115208_870.jpg

GHARAMA ZA MAWASILIANO zimepanda sana hasa kwenye VIFURUSHI VYA DATA.
 
Nilikuwa nanunua GB 1 kwa 1500 leo ni 2500

a3b1af07c2108358f1231e51f05c9170.png

Angelikuwa ni RAILA ODINGA, angelikuwa ameshakuja na OPARESHENI OKOA BANDO.

Lakini hawa WAHUNI wetu, walianza na MAFISADI na sasa hivi wanakuja na KATIBA MPYA!

Sasa sijui hiyo KATIBA MPYA ndio itawapeleka IKULU! Yaani hawa WAHUNI wetu ni HOPELESS kabisa 😂😂
 
Back
Top Bottom