Tetesi: Mabadiliko ya Vifurushi yanakuja Tarehe 18.08.2022: Tutegemee unafuu au maumivu zaidi?

Tetesi: Mabadiliko ya Vifurushi yanakuja Tarehe 18.08.2022: Tutegemee unafuu au maumivu zaidi?

Vodacom wanakupa 8mb/s tena kwenye 4G?[emoji15][emoji15][emoji15] Sasa kwenye 2.5G yaani E itakuwaje si 0mb/s.

Halotel napata hivi kwenye 3G na 4G, mara nyingi huwa siwashi kabisa 4G kwenye simu yangu, sababu speed ya 3G inanitosha kabisa, speed ya 4G inamaliza tu chaji!View attachment 2326045 na 4G
View attachment 2326046

Braza Naona ulicho kiandika hukielewi Ngoja nikueleweshe na uwe na uelewa usikariri na skunyingne usirudie

1MB/s = 8Mbps unaona tofaut kat ya hizo B kuna na hiyo b ndogo na B kubwa

ukiona wameandika MB/s ni inaitwa Megabyte per sec na ukiona Mbps hiyo inaitwa Megabit per sec kwahyo
1MB/s = 8Mbps au 1Mbps=0.125MB/s

standaard unit inayotumika international ni Mbps kwahyo wewe hapo hzo units zako za Halotel maximum nimeona 32Mbps hiyo ni sawa na kugawanya kwa 32/8 = 4MB/s kwahyo wewe unapata 4MB/s sijui unaelewa hapo watanzania weng tumekariri MB/s ila hapo ina display Mbps kwahyo data zako unatakiwa ugawe kwa 8 kupata MB/s

Vodacom haijawah zidiwa speed na mtandao wowote Tanzania nakwambia hivo na lain zote hapa had smile hakuna inayo zidi speed vodacom na nipo eneo zuri mtandao fresh kinacho izid vodacom speed ni kitu kinaitwa Fiber tena Fiber ya zuku na TTCL kwa mbal ndo hatar inaenda had 12MB/s ambayo ni sawa na 96Mbps

una google unaweza ukafatilia tofauti kat ya MBps na Mbps

unaweza ukatazama picha za speed ya vodacom kwa unit tofaut nimweka kwa Mbps na MB/s kama nilvo ainisha hapo chin usikariri elewa

Kwa maana hiyo mm speed yangu ya ku upload vitu avarage kama unavoona 32+Mbps ni sawa na speed yako ya ku download vitu na speed yangu ya ku download vitu ni mara 2 ya speed yako ya ku download

picha nimze quote nikiweka hapa zilkuazinagoma shuka chin utaona
 
Braza Naona ulicho kiandika hukielewi Ngoja nikueleweshe na uwe na uelewa usikariri na skunyingne usirudie

1MB/s = 8Mbps unaona tofaut kat ya hizo B kuna na hiyo b ndogo na B kubwa

ukiona wameandika MB/s ni inaitwa Megabyte per sec na ukiona Mbps hiyo inaitwa Megabit per sec kwahyo
1MB/s = 8Mbps au 1Mbps=0.125MB/s

standaard unit inayotumika international ni Mbps kwahyo wewe hapo hzo units zako za Halotel maximum nimeona 32Mbps hiyo ni sawa na kugawanya kwa 32/8 = 4MB/s kwahyo wewe unapata 4MB/s sijui unaelewa hapo watanzania weng tumekariri MB/s ila hapo ina display Mbps kwahyo data zako unatakiwa ugawe kwa 8 kupata MB/s

Vodacom haijawah zidiwa speed na mtandao wowote Tanzania nakwambia hivo na lain zote hapa had smile hakuna inayo zidi speed vodacom na nipo eneo zuri mtandao fresh kinacho izid vodacom speed ni kitu kinaitwa Fiber tena Fiber ya zuku na TTCL kwa mbal ndo hatar inaenda had 12MB/s ambayo ni sawa na 96Mbps

una google unaweza ukafatilia tofauti kat ya MBps na Mbps

unaweza ukatazama picha za speed ya vodacom kwa unit tofaut nimweka kwa Mbps na MB/s kama nilvo ainisha hapo chin usikariri elewa

Kwa maana hiyo mm speed yangu ya ku upload vitu avarage kama unavoona 32+Mbps ni sawa na speed yako ya ku download vitu na speed yangu ya ku download vitu ni mara 2 ya speed yako ya ku download

View attachment 2327267
View attachment 2327268
View attachment 2327269
View attachment 2327270
View attachment 2327271

IMG_4681.jpg

IMG_4678.jpg

IMG_4675.jpg

IMG_4679.jpg

IMG_4680.jpg
 
Back
Top Bottom