wakatanta
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 2,594
- 3,158
Mabadiliko haya iltakiwa Amos Makala aachwe,kazi imemshinda,kama ambavyo Magufuli aliona hafai.
Kwa kuwa Makala ana Magodfaza, Rais Samia akaambiwa amteue, ukweli umedhihirika si chochote, hata huko mwanza anaenda kuchemka tu, ana mambo ya Kiswahili Swahili sana.
Badiliko la Adam Malima na Fatuma Mwasa ni namna tu ya kuzichanga karata kupunguza maoni na maswali ya wadau.
Kwa sababu aliempendekeza Amos Makala ana ushawishi kwa Rais Samia,hivyo ilikuwa ni aibu kwake,(Mstaafu)
Kwa kuwa Makala ana Magodfaza, Rais Samia akaambiwa amteue, ukweli umedhihirika si chochote, hata huko mwanza anaenda kuchemka tu, ana mambo ya Kiswahili Swahili sana.
Badiliko la Adam Malima na Fatuma Mwasa ni namna tu ya kuzichanga karata kupunguza maoni na maswali ya wadau.
Kwa sababu aliempendekeza Amos Makala ana ushawishi kwa Rais Samia,hivyo ilikuwa ni aibu kwake,(Mstaafu)