Mabadiliko ya wakuu hawa wa mikoa ililenga kumfichia aibu Amos Makalla na waliompendekeza

Mabadiliko ya wakuu hawa wa mikoa ililenga kumfichia aibu Amos Makalla na waliompendekeza



Bila kuainisha alichoshindwa ni chuki na majungu tu dhidi yake. Kama ni suala la wafanyabiashara, unamuonea tu.
Huna akili wewe,kwa akili yako hilo pekee ndio umeliona?,serikali haiko hivyo,tafakari
 
Huna akili wewe,kwa akili yako hilo pekee ndio umeliona?,serikali haiko hivyo,tafakari
Nasisitiza tena kama hujaanisha hayo madai yako, wewe una chuki naye tu. Hayo ya sina akili ni yako. Unafikiri ukisema hivyo ndivyo inavyokuwa? Aliyeniumba aliridhika na akili aliyonipa. Ulitaka nijiongezee akili zaidi ya niloyopewa na muumba?
 
Makala ni kilaza, kazidiwa na chalamila ambaye kaingia Leo dar na kuanza kukutana na wafanya biashara.
 
Mabadiliko haya iltakiwa Amos Makala aachwe,kazi imemshinda,kama ambavyo Magufuli aliona hafai.

Kwa kuwa Makala ana Magodfaza, Rais Samia akaambiwa amteue, ukweli umedhihirika si chochote, hata huko mwanza anaenda kuchemka tu, ana mambo ya Kiswahili Swahili sana.

Badiliko la Adam Malima na Fatuma Mwasa ni namna tu ya kuzichanga karata kupunguza maoni na maswali ya wadau.

Kwa sababu aliempendekeza Amos Makala ana ushawishi kwa Rais Samia,hivyo ilikuwa ni aibu kwake,(Mstaafu)
Malima nae katajwa na yule aliyesema waliochota za ndege watasomewa albadiri
 
JPM alimteua Mbeya akashindwa, Akampeleke Katavi, huko ndiko alichemsha big time.....cha ajabu akapelekwa Dar. Watu waliweka wazi kuwa hawezi, leo amepelekwa Mwanza, huko nako itakuwa aibu kwa rais. Makala anatakiwa kuwa dc tu tena kwa wilaya kama dodoma mjini ili awe kama protocol officer tu wa kuwapokea viongozi uwanja headquartersya sukuma gang

Mabadiliko haya iltakiwa Amos Makala aachwe,kazi imemshinda,kama ambavyo Magufuli aliona hafai.

Kwa kuwa Makala ana Magodfaza, Rais Samia akaambiwa amteue, ukweli umedhihirika si chochote, hata huko mwanza anaenda kuchemka tu, ana mambo ya Kiswahili Swahili sana.

Badiliko la Adam Malima na Fatuma Mwasa ni namna tu ya kuzichanga karata kupunguza maoni na maswali ya wadau.

Kwa sababu aliempendekeza Amos Makala ana ushawishi kwa Rais Samia,hivyo ilikuwa ni aibu kwake,(Mstaafu)
Kapelekwa headquarters ya sukuma gang atakoma. Hakuna namba hataisoma
 
JPM alimteua Mbeya akashindwa, Akampeleke Katavi, huko ndiko alichemsha big time.....cha ajabu akapelekwa Dar. Watu waliweka wazi kuwa hawezi, leo amepelekwa Mwanza, huko nako itakuwa aibu kwa rais. Makala anatakiwa kuwa dc tu tena kwa wilaya kama dodoma mjini ili awe kama protocol officer tu wa kuwapokea viongozi uwanja wa ndege.
Kama hawezi kote,,ni lazima ateuliwe?
 
Back
Top Bottom