Mabadiliko ya wakuu hawa wa mikoa ililenga kumfichia aibu Amos Makalla na waliompendekeza



Bila kuainisha alichoshindwa ni chuki na majungu tu dhidi yake. Kama ni suala la wafanyabiashara, unamuonea tu.
Huna akili wewe,kwa akili yako hilo pekee ndio umeliona?,serikali haiko hivyo,tafakari
 
Huna akili wewe,kwa akili yako hilo pekee ndio umeliona?,serikali haiko hivyo,tafakari
Nasisitiza tena kama hujaanisha hayo madai yako, wewe una chuki naye tu. Hayo ya sina akili ni yako. Unafikiri ukisema hivyo ndivyo inavyokuwa? Aliyeniumba aliridhika na akili aliyonipa. Ulitaka nijiongezee akili zaidi ya niloyopewa na muumba?
 
Makala ni kilaza, kazidiwa na chalamila ambaye kaingia Leo dar na kuanza kukutana na wafanya biashara.
 
Malima nae katajwa na yule aliyesema waliochota za ndege watasomewa albadiri
 

Kapelekwa headquarters ya sukuma gang atakoma. Hakuna namba hataisoma
 
Kama hawezi kote,,ni lazima ateuliwe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…