Mabadiliko yajayo ya Ma-RC namuona Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam kama RC mpya

Mabadiliko yajayo ya Ma-RC namuona Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam kama RC mpya

Makala is the best amefanya vyema sana, jiji limependeza sema Kariakoo ndo bado watendaji wa chini wanamhujumu ila jamaa ni mfuatiliaji mzuri sana. Jiji la Dar na majijini yaliharibiwa sana na ufanyaji holela wa bihashara.
Hiyo mioto inaletwa na CHADEMA. CDM wanaleta taharuki nya uongozi wa CCMuonekane hafifu. Kwenye kesi ya uhujumu mbinu hizi zilitawajwa, na sasa hivi CDM iko busy ikileta hujuma za uchomaji wa miundo mbinu. Ninyi ngojeni matokeo ya upelelezi kama hawatakuwemo makada wa CHADEMA.
 
Hilo haliwezekani.

Pengine hamkuona uozo uliokithiri wa kuyafanya masoko kuwa magulio ya mateja,mama lishe, chinga na uozo mwingi.

Sasa ukimuweka kada wa CCM ndio unaingiza siasa kwenye uendeshsji wa miji, kosa kubwa alilofanya Magufuli.
We mpuuzi wa danga de wapuuzi wenzio. Makala huyu alikuwa Mweka hazina wa ccm wakati mangula ni Katibu Mkuu. Muulize Nape
 
Back
Top Bottom