Mabaharia karibuni mtoe na nyinyi sifa zenu za marriage application

Eti mwenzenu baada ya kusoma hii post nimrjikuta natazama vidole vya miguu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

mama wawili

Vina ushirikiano au ndio kama hvyo vya dizaini ya mleta mada alivyoviponda kama meno ya mamba [emoji16]
 
Reactions: amu
Mkuu uyo labda umuumbe mwenyewe Mwanamke gani asifanye ayo yote uliyoyasema yani et asivae wigi asifanye make up..!!
 
Reactions: amu
Hivi mwanamke hata awe na hela vip, awe na dharau vip..akiolewa na mtu kama Berlin (from Money heist) si lazima kuufyata tu.
 
Sifa zako please maana unaweza toa sifa unazotaka kumbe wewe mwenyewe ukikatiza watoto wanajificha hata kama alikuwa analia ananyamaza wanafikiri mnyama kapotea njia yakwenda hifadhi ya gombe

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume ni hela tu.

Au vigezo kadhaa huna hapo?
 
Hivi mwanamke hata awe na hela vip, awe na dharau vip..akiolewa na mtu kama Berlin (from Money heist) si lazima kuufyata tu.
Lacasa de papel kumbe unaangaliaga huu upuzi
 
Nashukuru Mungu vina ushirikiano mkubwa tu [emoji28][emoji28][emoji28]

mama wawili

Mrahisishie kazi mtoa mada au adi aje na majibu ya vipimo vya akili [emoji23][emoji23]
 
Sifa zote hizo ni wa kutongoza tuu nilidhani wa kulala nae!
Sometime tongoza yeyote ili kunoa mistari ila wa kulala nae ndio awe na sifa hizo


Alexander
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…