Mabaharia kikao cha Dharura

[emoji16][emoji3][emoji16]
 
Kwa taarifa za hivi awali kuhusu hiko chama ni kwamba tunamekiwekea vikwazo vya kidiplomasia
 
Ngoja kanza, ile buku shing tano ( Tsh 1500/=) yakusajilia Chama chetu ilishapatikana? Maana ilikua imepelea hiyo tuu Chama Kisajiliwe Kisheria.
Hiyo Γ±do inayosababisha chama kisisajiliwe mpaka sahiv
 
Kila chama kishinde mechi zake.
Mimi binafsi nishahamia Chama cha wanaume mabahili Tanzania kipindi hiki cha uchumi wa kati.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kupata form na ID unapataje, nataka niwe na ID yangu wakuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…