[emoji16][emoji3][emoji16]Ha haha this time watakufa njaa.
Pia ningependa kuwashukuruUWABATA katika mtaa wangu kwa msaada wa kuipata 500/= yangu niliodondosha leo, asanteni Sana.
Wengine walikuja na fyekeo, majembe na wengine wakabeba sumaku ili pengine inate wakipitisha pitisha sumakuView attachment 1709428
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] dah hii kaliKikao kimefanyika Online badala kifanyike chini ya mti tunywe hata maji ya mvua!!!