Mabaharia kikao cha Dharura

Mabaharia kikao cha Dharura

Ha haha this time watakufa njaa.

Pia ningependa kuwashukuruUWABATA katika mtaa wangu kwa msaada wa kuipata 500/= yangu niliodondosha leo, asanteni Sana.
Wengine walikuja na fyekeo, majembe na wengine wakabeba sumaku ili pengine inate wakipitisha pitisha sumakuView attachment 1709428
[emoji16][emoji3][emoji16]
 
Kwa taarifa za hivi awali kuhusu hiko chama ni kwamba tunamekiwekea vikwazo vya kidiplomasia
 
Ngoja kanza, ile buku shing tano ( Tsh 1500/=) yakusajilia Chama chetu ilishapatikana? Maana ilikua imepelea hiyo tuu Chama Kisajiliwe Kisheria.
Hiyo ñdo inayosababisha chama kisisajiliwe mpaka sahiv
 
[emoji3]
20210218_143218.jpg
 
Kila chama kishinde mechi zake.
Mimi binafsi nishahamia Chama cha wanaume mabahili Tanzania kipindi hiki cha uchumi wa kati.
 
Kupata form na ID unapataje, nataka niwe na ID yangu wakuu
 
Back
Top Bottom