Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
- Thread starter
- #141
Wangekuwa wanaelewa hili, ingekuwa poa sanaa.Best things in life are for free. Best sex is free. Huu ndio ukweli.
#YNWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wangekuwa wanaelewa hili, ingekuwa poa sanaa.Best things in life are for free. Best sex is free. Huu ndio ukweli.
Sabuni ya kusafishia ujiMadam tatizo ni gharama tuu...
Kwani Bure hamuwezi tupa?
Maana ukinipa nakufikisha juu mawinguni.
Nikufikisha kilele si inatosha au mpaka pesa zinitoke?
#YNWA
Vifo vya kujitakia huanza hivihiviSasa braza ile natoka zangu Mkoani naingia Dar kuponda raha.
Mimi nipo siti ya G1 dirishani kabisaa.
G2 kakaa mtoto ana chura na toto jeupee, halafu anakwambia anaingia Dar ila hajui analala wapi...
Come onnnn 😎😎😎
Kuumbwa mwanaume MATESO..!!!
#YNWA
LOOOOOH HATARI SANA.......................Yaani umechoma hio hela, na umekesha ukisuguana na karatasi (Condom), mwisho nguvu umepoteza, mbegu pia umetupa(shahawa)...........Hasara kubwa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Umemtongoza demu akakuelewa na kutaka kukupa mbunye.
Sasa tuseme umeamua kuwa low kwenye matumizi.
1. Soon atakuomba vocha ,5000
2. Utatuma nauli akufate lodge uliyopo mpate vinywaji na kula kwanza 50,000 (nauli + vinywaji + msosi)
3. Utalipia chumba 20,000
4. Mtanunua vya kwenda navyo chumbani (Vinywaji+condom) 10,000
5. Asubuhi mtaagana 30,000
Hii nimefanya minimum cost ile kikaizu zaidi.
Yaani kwa mbunye ya siku moja umeteketeza 115,000/=
mmh huko hapana kabisachaputa oyeee
Ukiwa huna pesa huwezi jua ni jinsi gani mapenzi yanatutesa sisi matajiri yani bora nyie..[emoji174][emoji87]
Umetisha sanaaaaChumba unalipa 10,000
Asubuh kuagana unamtumia tigo pesa 30000 alafu unarudisha muamala fasta,
Akikuomba vocha unamuunganisha juu kwa juu cha buku 2.
Unawagonga hivyohivyo "Kijanjaaaa"Mkuu wewe wanawake walikukosea wapi haswa.....
Kuhonga hutaki, kuoa hutaki,,,, asa kuna namna ambayo unakula mbususu bila kutoa dusco??
au ndio Katibu wa CHAPUTA alishakupa kadi ya chama..
Kuoa 😳😳😳😳Umewaza vizuri ! Chukua hatua kama huna mke oa mke na kama unaye tulia naye.