Mabaharia mwenzangu, Hivi unajua "UMALAYA" ni gharama Sana?

Mabaharia mwenzangu, Hivi unajua "UMALAYA" ni gharama Sana?

Sasa braza ile natoka zangu Mkoani naingia Dar kuponda raha.
Mimi nipo siti ya G1 dirishani kabisaa.

G2 kakaa mtoto ana chura na toto jeupee, halafu anakwambia anaingia Dar ila hajui analala wapi...

Come onnnn 😎😎😎

Kuumbwa mwanaume MATESO..!!!

#YNWA
Vifo vya kujitakia huanza hivihivi
 
Mkuu wewe wanawake walikukosea wapi haswa.....

Kuhonga hutaki, kuoa hutaki,,,, asa kuna namna ambayo unakula mbususu bila kutoa dusco??

au ndio Katibu wa CHAPUTA alishakupa kadi ya chama..
 
Umemtongoza demu akakuelewa na kutaka kukupa mbunye.
Sasa tuseme umeamua kuwa low kwenye matumizi.

1. Soon atakuomba vocha ,5000
2. Utatuma nauli akufate lodge uliyopo mpate vinywaji na kula kwanza 50,000 (nauli + vinywaji + msosi)
3. Utalipia chumba 20,000
4. Mtanunua vya kwenda navyo chumbani (Vinywaji+condom) 10,000
5. Asubuhi mtaagana 30,000

Hii nimefanya minimum cost ile kikaizu zaidi.

Yaani kwa mbunye ya siku moja umeteketeza 115,000/=
LOOOOOH HATARI SANA.......................Yaani umechoma hio hela, na umekesha ukisuguana na karatasi (Condom), mwisho nguvu umepoteza, mbegu pia umetupa(shahawa)...........Hasara kubwa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mkuu wewe wanawake walikukosea wapi haswa.....

Kuhonga hutaki, kuoa hutaki,,,, asa kuna namna ambayo unakula mbususu bila kutoa dusco??

au ndio Katibu wa CHAPUTA alishakupa kadi ya chama..
Unawagonga hivyohivyo "Kijanjaaaa"

#YNWA
 
Back
Top Bottom