Mabaharia mwenzangu, Hivi unajua "UMALAYA" ni gharama Sana?

Vifo vya kujitakia huanza hivihivi
 
Mkuu wewe wanawake walikukosea wapi haswa.....

Kuhonga hutaki, kuoa hutaki,,,, asa kuna namna ambayo unakula mbususu bila kutoa dusco??

au ndio Katibu wa CHAPUTA alishakupa kadi ya chama..
 
LOOOOOH HATARI SANA.......................Yaani umechoma hio hela, na umekesha ukisuguana na karatasi (Condom), mwisho nguvu umepoteza, mbegu pia umetupa(shahawa)...........Hasara kubwa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mkuu wewe wanawake walikukosea wapi haswa.....

Kuhonga hutaki, kuoa hutaki,,,, asa kuna namna ambayo unakula mbususu bila kutoa dusco??

au ndio Katibu wa CHAPUTA alishakupa kadi ya chama..
Unawagonga hivyohivyo "Kijanjaaaa"

#YNWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…