Mabaharia! Umeona manzi umeizimia! Kimwonekano unaona kuimudu ni mziki mnene! Kuweka heshima ya baharia unafanyaje?

Mwambie akutumie account namba ya bank alafu kaa kimya.
 
huwa kabla hawajajibu DM wanavyuu kwanza profile yako wanajisemea tu duh kwa huyu kaka hapana kwakweli usiishi kinyonge offline na online , online kila mtu mtamu sikufundishi kila kitu
Huu ndio ukweli.

Huyo demu alishaona hizo msg za dogo, na akacheki profile ya jamaa akaona jamaa hana maajabu! Ndio maana kaamua kumpotezea.
 
Mimi ushauri wangu siku zote ni ule ule.

Achana na mademu wa online!

Hapo unapoishi mbona kuna mademu kibao tu wakali kuliko huyo na ni rahisi tu kuwapata? Kwanini unaacha mademu unaowaona kwa macho unahangaika na watu usiowajua? Ukute hata hizo picha zinazokupagawisha sio zake, au ziko edited mwenyewe ukimuona utakimbia..!

Tongoza mademu wanaokuzunguka utakuja kunishukuru.
 
Wanawake wa namna hiyo huwa wanapokea DMs nyingi sana hivyo ni ngumu sana kukujibu na huna hakufaham personally au uwe maarufu kuzidi yeye. Si ajabu huwa anapokwa DM 100 kila siku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…