Fene
JF-Expert Member
- May 4, 2021
- 2,824
- 4,447
Inakuwaje wadau!
Kwakwel mabaharia wenzangu nikiwaga katika harakat zangu za kumtafuta shemej yenu mpya au wifi yenu (kwa ke) bac nikijibiwaga jibu hili "KWA KWELI WE KAKA NILIKUWA NAKUHESHIMU" nakuwaga maji ya shingo sana [emoji24][emoji23][emoji24][emoji23][emoji24][emoji1787][emoji1787][emoji1787] [emoji24]
Swali: hivi mabaharia wenzangu ikitokea umejibiwa hiv unarespond vp?
Na kwa "ke" hiv munakuwa munamaanisha nn ukizingatia hatuna undugu heshima hiyo inatokea wap sasa?
Nawasilisha
Kwakwel mabaharia wenzangu nikiwaga katika harakat zangu za kumtafuta shemej yenu mpya au wifi yenu (kwa ke) bac nikijibiwaga jibu hili "KWA KWELI WE KAKA NILIKUWA NAKUHESHIMU" nakuwaga maji ya shingo sana [emoji24][emoji23][emoji24][emoji23][emoji24][emoji1787][emoji1787][emoji1787] [emoji24]
Swali: hivi mabaharia wenzangu ikitokea umejibiwa hiv unarespond vp?
Na kwa "ke" hiv munakuwa munamaanisha nn ukizingatia hatuna undugu heshima hiyo inatokea wap sasa?
Nawasilisha