Mabaharia wenzangu huwa munarespond vp ikishafikia hivi?

Mabaharia wenzangu huwa munarespond vp ikishafikia hivi?

Fene

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2021
Posts
2,824
Reaction score
4,447
Inakuwaje wadau!

Kwakwel mabaharia wenzangu nikiwaga katika harakat zangu za kumtafuta shemej yenu mpya au wifi yenu (kwa ke) bac nikijibiwaga jibu hili "KWA KWELI WE KAKA NILIKUWA NAKUHESHIMU" nakuwaga maji ya shingo sana [emoji24][emoji23][emoji24][emoji23][emoji24][emoji1787][emoji1787][emoji1787] [emoji24]

Swali: hivi mabaharia wenzangu ikitokea umejibiwa hiv unarespond vp?

Na kwa "ke" hiv munakuwa munamaanisha nn ukizingatia hatuna undugu heshima hiyo inatokea wap sasa?

Nawasilisha
Screenshot_2019-07-12-15-08-45-873_com.opera.mini.android.jpg
 
Hilo jibu ni maalumu kwa wanaume wasio na pesa wala gari.bado ninaendelea na utafiti
 
Hilo jibu ni maalumu kwa wanaume wasio na pesa wala gari.bado ninaendelea na utafiti
So sad[emoji24][emoji24] kumbe hata tukiwa na pesa nowdays tusahau real love

Mna dhambi sana niny
 
Means hajakupenda ni vile tu kakujibu kistaarabu usijiskie vibaya
 
Inakuwaje wadau!

Kwakwel mabaharia wenzangu nikiwaga katika harakat zangu za kumtafuta shemej yenu mpya au wifi yenu (kwa ke) bac nikijibiwaga jibu hili "KWA KWELI WE KAKA NILIKUWA NAKUHESHIMU" nakuwaga maji ya shingo sana [emoji24][emoji23][emoji24][emoji23][emoji24][emoji1787][emoji1787][emoji1787] [emoji24]

Swali: hivi mabaharia wenzangu ikitokea umejibiwa hiv unarespond vp?

Na kwa "ke" hiv munakuwa munamaanisha nn ukizingatia hatuna undugu au ndo katika harakat za kuleta challenge

NawasilishaView attachment 1920252
Mwambie muheshimu mamako tuheshimiane.
 
Mie si baharia unakomaa naye tu hadi utasikia wewe Kaka king’ang’anizi sana 😂😂😂 hadi nikikuona tu napata furaha moyoni. Unajua nilikupenda tangu siku ile ya kwanza 🤣🤣🤣🤣 ila nitakupa mara moja usiniombe tena mie nina wangu. 🤣🤣🤣🤣🤣
Inakuwaje wadau!


Kwakwel mabaharia wenzangu nikiwaga katika harakat zangu za kumtafuta shemej yenu mpya au wifi yenu (kwa ke) bac nikijibiwaga jibu hili "KWA KWELI WE KAKA NILIKUWA NAKUHESHIMU" nakuwaga maji ya shingo sana [emoji24][emoji23][emoji24][emoji23][emoji24][emoji1787][emoji1787][emoji1787] [emoji24]

Swali: hivi mabaharia wenzangu ikitokea umejibiwa hiv unarespond vp?

Na kwa "ke" hiv munakuwa munamaanisha nn ukizingatia hatuna undugu au ndo katika harakat za kuleta challenge

NawasilishaView attachment 1920252
 
Back
Top Bottom