Mabaharia wenzangu huwa munarespond vp ikishafikia hivi?

Mabaharia wenzangu huwa munarespond vp ikishafikia hivi?

access denied

hiyo ya kukuita kaka amemanisha add credit or debit card
 
Demu akishakuletea swaga izo kata moto dogo mademu wapo wengi sana yaaan mm nikitokea kumtongoza demu afu aanze kunidengulia naachana nae mapema tu afu namtokea demu mwingine life inasonga...... mwanamke akikukataa afu ukiendelea kumgandaganda anakuona boya ww mpoteze kuna siku atashoboka tu mwenyewe afu akishashoboka ww unakuwa huna abar nae
 
Jibu linalofuata linatakiwa lianze na

8HQ75RY2ESJ Imethibitishwa...

Hivyo tu.
 
Unafikiaje kwenye maongezi ya mambo ya kuheshimiana Mkuu, wewe ukiwa mshua utaweza kweli kuwa fatakii?

Jitahidi Mkuu msiwe na maongezi ya mambo ya kuheshimiana, Ke kama Me tu nao wanapenda, wanatamani na wanafikiriaga ujinga ujinga mwingi.
 
Duh...inahitaji kufundishwa kuanzia msingi kabisa...Hilo swali lako Ni Sawa Na kuuliza mbona nyumba nikiweka bati inabomoka wakati msingi niliumwagilizia siku mbili?
 
Unafuta namba baaaasi.Watu wenyewe hawa wapo billion 7 na sie billion 2.Tafuta mwingine
 
Demu akishakuletea swaga izo kata moto dogo mademu wapo wengi sana yaaan mm nikitokea kumtongoza demu afu aanze kunidengulia naachana nae mapema tu afu namtokea demu mwingine life inasonga...... mwanamke akikukataa afu ukiendelea kumgandaganda anakuona boya ww mpoteze kuna siku atashoboka tu mwenyewe afu akishashoboka ww unakuwa huna abar nae
P1, nimekupata mkuu
 
Unafikiaje kwenye maongezi ya mambo ya kuheshimiana Mkuu, wewe ukiwa mshua utaweza kweli kuwa fatakii?

Jitahidi Mkuu msiwe na maongezi ya mambo ya kuheshimiana, Ke kama Me tu nao wanapenda, wanatamani na wanafikiriaga ujinga ujinga mwingi.
Ngoja nikafanyie kaz
 
Duh...inahitaji kufundishwa kuanzia msingi kabisa...Hilo swali lako Ni Sawa Na kuuliza mbona nyumba nikiweka bati inabomoka wakati msingi niliumwagilizia siku mbili?
Lete maujuz mkuu
 
Back
Top Bottom