Afu nyi madingi mnatakiwa mtupe vijana wenu madini sio mnaanza kutukejeLi bhnaVitu vingine muwe mnawauliza wenzenu huko huko hostel baada yakumaliza vipindi.
anakupeti peti huenda ukazipata huko mbele🤣🤣Sasa mkuu kwanini ananiheshimu wakati sina hela?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vitu vingine muwe mnawauliza wenzenu huko huko hostel baada yakumaliza vipindi.
Real love?🤣🤣🤣So sad[emoji24][emoji24] kumbe hata tukiwa na pesa nowdays tusahau real love
Mna dhambi sana niny
Mwambie muheshimu mamako tuheshimiane.Inakuwaje wadau!
Kwakwel mabaharia wenzangu nikiwaga katika harakat zangu za kumtafuta shemej yenu mpya au wifi yenu (kwa ke) bac nikijibiwaga jibu hili "KWA KWELI WE KAKA NILIKUWA NAKUHESHIMU" nakuwaga maji ya shingo sana [emoji24][emoji23][emoji24][emoji23][emoji24][emoji1787][emoji1787][emoji1787] [emoji24]
Swali: hivi mabaharia wenzangu ikitokea umejibiwa hiv unarespond vp?
Na kwa "ke" hiv munakuwa munamaanisha nn ukizingatia hatuna undugu au ndo katika harakat za kuleta challenge
NawasilishaView attachment 1920252
Inakuwaje wadau!
Kwakwel mabaharia wenzangu nikiwaga katika harakat zangu za kumtafuta shemej yenu mpya au wifi yenu (kwa ke) bac nikijibiwaga jibu hili "KWA KWELI WE KAKA NILIKUWA NAKUHESHIMU" nakuwaga maji ya shingo sana [emoji24][emoji23][emoji24][emoji23][emoji24][emoji1787][emoji1787][emoji1787] [emoji24]
Swali: hivi mabaharia wenzangu ikitokea umejibiwa hiv unarespond vp?
Na kwa "ke" hiv munakuwa munamaanisha nn ukizingatia hatuna undugu au ndo katika harakat za kuleta challenge
NawasilishaView attachment 1920252