Hizo somjo kaka. Ungekuwa na mihela ungekuwa unatupa story ya jinsi ulivyo isasambua mbususuSasa mkuu kwanini ananiheshimu wakati sina hela?
P1 BrohMie si baharia unakomaa naye tu hadi utasikia wewe Kaka king’ang’anizi sana [emoji23][emoji23][emoji23] hadi nikikuona tu napata furaha moyoni. Unajua nilikupenda tangu siku ile ya kwanza [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila nitakupa mara moja usiniombe tena mie nina wangu. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ahsante sana mkuu for your best comment [emoji106][emoji106]Hela ndio center ya mahusiano yote chalii...yawe ya uwongo au real au complicated....hisia zimeondolewa na zimewekwa mbali...hata mahusiano yasio ya kimapenzi yanaongozwa na hela...heshima inaletwa na pesa...so we bado ni mdogo ila nafasi ya kupata hela ni kubwa...kuliko mpenzi
pambana upate hela...hutatongoza tena...we utawaona tu...maisha ni pesa na pesa ndo maisha hakuna maisha bila pesa
Nimesikitika sana, kumbe wadada ndivyo walivyo! Ngoja niibe sasa, manake pesa za halali haziji kujaza wallet leo au kesho.Hilo jibu ni maalumu kwa wanaume wasio na pesa wala gari.bado ninaendelea na utafiti
Sio wote.mimi mbona sipendi hela na Nipo tu napumua vizuri kabisa.Nimesikitika sana, kumbe wadada ndivyo walivyo! Ngoja niibe sasa, manake pesa za halali haziji kujaza wallet leo au kesho.
Kuna siku mtu atakuja kukupenda bila sababu.niamini ila kumpata ndo changamoto.huo ugonjwa hata sisi ke tunao.unatamani mtu akupende bila sababu yani🥺[emoji24][emoji24]
Usifanye hivyo mkuu, mbona tunaweza ishi bila mapenzi
Pole maskini ☹️☹️Wakike tuko wawili tu na tayari keshaolewaNitamtafuta mdog wako bila ya shaka yupo kama wewe
Usikate tamaaAhsante for your hope