KateMiddleton
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 3,883
- 4,676
Duh Ni masyllabus kabisa Na slide Ni nyingi mnoLete maujuz mkuu
[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787]pisi sikuizi ni nyingi sana unaweza panda gari ukatamani kushuka kituo si chakoo.
Swal langu mm kwa wanawake wa jamii forum ni kwamba . ivi ukisima mishwa na mwanaume ambae hakujui huwa mnaji skiajee or what comes first in your mind??
Maana unaweza kutana na pissi barabaran unashindwa huanzaje hasa pisi za kisabato [emoji28][emoji28]
Ni kweli kabisaIssue sio hela
hajakupenda tu
kuna watu wana hela na wanajibiwa hivyo
Inategemea na mwanamke mwenyewe
shetan hafai[emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787]
Umenifurahisha sana mkuu "unaweza shuka kituo si chako"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duh yaani kila komenti ni "katafute hela " hela hela hela hela
Pesa
Mtonyo
Mapene
Sarafu
Noti
Fweza
Sabuni ya roho
Maskini tumekwishaaaaaa
Kwisha habari yetu
😂😂 mbinguni huendi wwShetani noma
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mimi sijui kwanini baada yakusoma mada yake nikarudi kuangalia profile yakeVitu vingine muwe mnawauliza wenzenu huko huko hostel baada yakumaliza vipindi.
Huyu ndo unakuta mjanja wa darasa we Cha kufanya mpe tu idea sio kumkejeli mzeeVitu vingine muwe mnawauliza wenzenu huko huko hostel baada yakumaliza vipindi.