Mabaharia wenzangu, ukitembea na pisi kali, hakikisha unabebesha mimba

Kutokuzaa na pisi ya namna hii kutakuwa na tatizo mahali..
 
Baba gani unajisifu kabisa mbele za watu eti watoto wako wana chura?

Matokeo yake kesho utasikia magazetini "BABA MBARONI KWA KUMBAKA BINTI YAKE"
Umetafsiri vibaya, hao ni pisi kali (watoto wakali)
 
Kutokuzaa na pisi ya namna hii kutakuwa na tatizo mahali..
View attachment 2973080
Chizi anafurahisha akiwa wa Jirani yako,kwani lazima uzae nae.

Unamjua Kevin Twisa yule kagonga sana Mamiss wa waliokuwa wakishiriki Miss Tanzania,enzi hizo akiwa Vodacom kama mkuu wa kitengo cha mauzo na hajawazalisha hovyo.

Mbona ngozi kama hizo hata sisi tunagonga,hila hatuna ulimbukeni ulikuwa nao ww.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…