BALENSIAGA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 3,353
- 5,800
Kila mtoto anatakiwa kupewa 500,000/- ya matumizi,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila kulia wali wa maharage kwenye sahani ya udongo ni tofauti na kula chakula hicho hicho kwenye sahani ya plastikitena hawa sura za wastani ni watamu balaa,kitu "nta"hadi uneza koj*a ubongo!!hao pisikali wanaanza kuburuza wakiwa wadogo hence machine zinachoka mno!
Noma sanaHiyo unaiweka hapa
View attachment 2973087
Haina shida, muhimu mali inapatikana shambani; tutumie mvua hizi kwa kulima kilimo cha kisasa na chenye tija.Kila mtoto anatakiwa kupewa 500,000/- ya matumizi,
Hatutaki kusikia umeitwa Ustawi wa jamiiHaina shida, muhimu mali inapatikana shambani; tutumie mvua hizi kwa kulima kilimo cha kisasa na chenye tija.
Unaozaa nao inabidi uwaweke sawa na uhakikishe kwa asilimia fulani wanaweza kujihudumiaHatutaki kusikia umeitwa Ustawi wa jamii
Hogo 😂😂😂MAMA TAMU ,,Kitu kingine unachoofa zaid ya hiyo papuchi ni nini??
Kwani na wewe ni pisi Kali, yani kama alivosema mtoa mada kwamba sura, chura, hipsi, urefu vipi?si ni mpaka nitake hiyo mimba!
Isije kuwa zile stori za "Mji mzito" ni za kweli kwamba anashiriki ile michezo ya Vijana wa hovyo 🙌Babu ni jux ndo hana kizazi🤣 warembo wote kashindwa kupachika hata
Wapo wanaoweza kama una mijumba, mashamba mengi hlf watoto wawili kwanini usitegewe tugawane wote chochote kituIsije kuwa zile stori za "Mji mzito" ni za kweli kwamba anashiriki ile michezo ya Vijana wa hovyo 🙌
Ila Mjukuu, suala la nani wa Kuzaa naye huwa linaamuliwa na Mwanamke mwenyewe
Imagine umri wangu huu wa Uzee, hivi Kuna Binti anaweza kunitegea mimba kweli?😜
Zingine zikibeba mimba zinakongorokaaKuna pisi kali nimezaa nao mpaka nafsi yangu inasikia faraja; watoto wakali kuanzia sura, chura, hipsi, urefu, na wakazaa watoto wazuri hata nikiwaona kwa mbali najiona kweli nimetumia uanaume wangu vizuri.
Cha kushangaza, kila mmoja aniiti jina langu tena; bali wananiita baba fulani kutokana na watoto niliozaa nao, kupasha kiporo ni muda wowote tu ule unavyojisikia, muhimu bajeti kwa muda ule uweze kuimudu tu.
Kinacho wachanganya zaidi ni swaga zangu, ucheshi, kutokuishi kizee, pamoja na kujali kwa vitu vidogo vidogo.
Kila siku nimekuwa ni mtu wa kupata mialiko kutoka kwa hawa pisi kali zangu, sema tatizo ni bajeti nashindwa kuwafikia wote kwa wakati, kwa sababu wengine wako mikoa tofauti.
Kweli najiona kidume kuwa na hizi pisi kali zilizonizawadia watoto.
Nahisi hata nguvu zenyewe Sina za kuweza kushughulika ili hao watoto wenyewe wajeWapo wanaoweza kama una mijumba, mashamba mengi hlf watoto wawili kwanini usitegewe tugawane wote chochote kitu
Mimi nataka nimtegee mchumba wangu
Babu itabidi nifanye chap mchumba ashaanza kutoka mvi, hamjapishana sana umriNahisi hata nguvu zenyewe Sina za kuweza kushughulika ili hao watoto wenyewe waje
Maana umri huu kulenga shabaha huwa ni kazi sana Kwa sisi Wazee 😜
Huyo Mai wako hakikisha unamuwahi mapema kumbebea kabla hajafika umri wangu,maana zoezi huwa gumu sana kutokana na Uzee 😜 🤗
Hivi hii 🆔 huwa najua ni ya Me siku zote..Huu ni ujauzito wangu wa tatu niliobebeshwa na BABA TAMU.
Hii inathibitisha kwamba BICHWA KOMWE ni pisi kali kweRi kweRi.
Itoshe tu kusema kwamba BABA TAMU anaupiga mwingi kwenye papuchi yangu mpaka unavuja.
Cc Lamomy Extrovert Poor Brain cocastic Mufti kuku The Infinity adriz dronedrake fundi bishoo Mzee wa kupambania
Wanakuwa wana uzoefu na uzazi na wengine wanataka kutengeneza bondIla wanawake wenye watoto wanapenda sana kubeba mimba sijui kwanini.