Mabaharia wenzangu, ukitembea na pisi kali, hakikisha unabebesha mimba

Mabaharia wenzangu, ukitembea na pisi kali, hakikisha unabebesha mimba

We usijisifu ukidume, washukuru walikuhurumia tu, watu wana mkwanja na pisi kali zinatoa mimba kimya kimya hazisemi kwa jamaa kama zina mimba kwa kuhofia jamaa anaweza akataka izae.
 
We usijisifu ukidume, washukuru walikuhurumia tu, watu wana mkwanja na pisi kali zinatoa mimba kimya kimya hazisemi kwa jamaa kama zina mimba kwa kuhofia jamaa anaweza akataka izae.
Wengine wanafeli kwenye swaga na kutanguliza hela mbele; hela sio kila kitu.
 
Na wengi wanaokuwa bila malezi ya baba huwa wana vipaji maalumu; muhimu kuwa hudumia pale panapo wezekana
Kuna MTU aliwahi ku kuleta Uzi humu unaohusu Alfa male and better male. Ukiusoma unaweza kuona umuhimu wa mtoto kupata malezi ya Baba na mama na athali za mtoto kupata malezi ya upande mmoja. Sometimes kukosa malezi ya Baba na mama kunaweza kumuathili mtoto kisaikolojia
 
Kuna pisi kali nimezaa nao mpaka nafsi yangu inasikia faraja; watoto wakali kuanzia sura, chura, hipsi, urefu, na wakazaa watoto wazuri hata nikiwaona kwa mbali najiona kweli nimetumia uanaume wangu vizuri.

Cha kushangaza, kila mmoja aniiti jina langu tena; bali wananiita baba fulani kutokana na watoto niliozaa nao, kupasha kiporo ni muda wowote tu ule unavyojisikia, muhimu bajeti kwa muda ule uweze kuimudu tu.

Kinacho wachanganya zaidi ni swaga zangu, ucheshi, kutokuishi kizee, pamoja na kujali kwa vitu vidogo vidogo.

Kila siku nimekuwa ni mtu wa kupata mialiko kutoka kwa hawa pisi kali zangu, sema tatizo ni bajeti nashindwa kuwafikia wote kwa wakati, kwa sababu wengine wako mikoa tofauti.

Kweli najiona kidume kuwa na hizi pisi kali zilizonizawadia watoto.​
🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆 Ewwwwww
 
Kuna pisi kali nimezaa nao mpaka nafsi yangu inasikia faraja; watoto wakali kuanzia sura, chura, hipsi, urefu, na wakazaa watoto wazuri hata nikiwaona kwa mbali najiona kweli nimetumia uanaume wangu vizuri.

Cha kushangaza, kila mmoja aniiti jina langu tena; bali wananiita baba fulani kutokana na watoto niliozaa nao, kupasha kiporo ni muda wowote tu ule unavyojisikia, muhimu bajeti kwa muda ule uweze kuimudu tu.

Kinacho wachanganya zaidi ni swaga zangu, ucheshi, kutokuishi kizee, pamoja na kujali kwa vitu vidogo vidogo.

Kila siku nimekuwa ni mtu wa kupata mialiko kutoka kwa hawa pisi kali zangu, sema tatizo ni bajeti nashindwa kuwafikia wote kwa wakati, kwa sababu wengine wako mikoa tofauti.

Kweli najiona kidume kuwa na hizi pisi kali zilizonizawadia watoto.​
Unajua balaa la Mtoto wewe!
 
Kuna pisi kali nimezaa nao mpaka nafsi yangu inasikia faraja; watoto wakali kuanzia sura, chura, hipsi, urefu, na wakazaa watoto wazuri hata nikiwaona kwa mbali najiona kweli nimetumia uanaume wangu vizuri.

Cha kushangaza, kila mmoja aniiti jina langu tena; bali wananiita baba fulani kutokana na watoto niliozaa nao, kupasha kiporo ni muda wowote tu ule unavyojisikia, muhimu bajeti kwa muda ule uweze kuimudu tu.

Kinacho wachanganya zaidi ni swaga zangu, ucheshi, kutokuishi kizee, pamoja na kujali kwa vitu vidogo vidogo.

Kila siku nimekuwa ni mtu wa kupata mialiko kutoka kwa hawa pisi kali zangu, sema tatizo ni bajeti nashindwa kuwafikia wote kwa wakati, kwa sababu wengine wako mikoa tofauti.

Kweli najiona kidume kuwa na hizi pisi kali zilizonizawadia watoto.​
Umetuhakikishia pia watoto wako ni pisi kali. Ngoja niwasikilizie hata kwa chumvi nile.

Sent from my TECNO B1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom