Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #161
Aya, pata supu ya kongoro hapo kwa jirani 😀Mim sijasema kitu Kaka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aya, pata supu ya kongoro hapo kwa jirani 😀Mim sijasema kitu Kaka.
Sawa Kaka nakutumia lipa namba 😂😂😂😂😂😂😂Aya, pata supu ya kongoro hapo kwa jirani 😀
Kuna nchi zingine zina upungufu wa watu, ukichangia na haya mambo ya wanaume kupotezwa ndio inakuwa balaa zaidi.😂😂😂😂😂😂 kweli kabisa
Nitakutumia kwa jfpesa muda si mrefuSawa Kaka nakutumia lipa namba 😂😂😂😂😂😂😂
Eeeeeh uwaaambie mods sitak ikatwe ije afutatu kama ilivyoNitakutumia kwa jfpesa muda si mrefu
Kwa sababu wewe ni mwanachama uliye hai; watakupatia na bonus 😀Eeeeeh uwaaambie mods sitak ikatwe ije afutatu kama ilivyo
Kila la kheri mkuuMapori ni mengi yanahitaji watu, na ili taifa liwe imara linahitaji watu
Wazee hatufi haraka kwa sababu tunajua kuishi vizuri na jamii; unataka hawa pisi kali wazae na nani, ikiwa wanaume wanazidi kupungua siku zinavyozidi kusogea? 😀Sasa Kama wazee wetu ndio hawa.
Arrrrrrrrrrrrrr, hapo sawa hapo itakua poa kakaKwa sababu wewe ni mwanachama uliye hai; watakupatia na bonus 😀
Usikimbie mkuu, sasa hivi Canada inatoa uraia kwa watu mbalimbali, lakini lengo kuu ni watu.Kila la kheri mkuu
Weee na hayo mambo ni dam damKuna nchi zingine zina upungufu wa watu, ukichangia na haya mambo ya wanaume kupotezwa ndio inakuwa balaa zaidi.
Unachomeka kama utambi kwenye kibatali itaamkia huko huko ndani babu😂Hahaha..........huo ni utani wa Babu Kwa Mjukuu tu....hata hivyo Kwa umri huu hata nikipewa unadhani nitaweza kula basi 😜🤗
Tumia fursa hiyo, uende huko kwa wenzetu 😀Weee na hayo mambo ni dam dam
Sawa sawa ngoja mvua ziishe kwanzaTumia fursa hiyo, uende huko kwa wenzetu 😀
Hahaha............Kuna Uzi nilisoma humu kwamba Kuna wakati wapenzi wakiwa wanashiriki halafu ghafla mchi ukatoka, basi zile Vurugu za mikono Kwa Kila mtu kuiwahi na kuichomeka Tena 😅😅🙌Unachomeka kama utambi kwenye kibatali itaamkia huko huko ndani babu😂
Sawa sawa ngoja mvua ziishe kwanza
😂😂😂😂😂😂😂
Subiri wakueHakuna balaa lolote, wapo saba nje na kila mmoja na mama yake, na wanaendelea vizuri huko waliko
Kwamba watanipiga mapanga au 😀Subiri wakue