Mabaharia wenzangu, ukitembea na pisi kali, hakikisha unabebesha mimba

Mabaharia wenzangu, ukitembea na pisi kali, hakikisha unabebesha mimba

Wazee wenzio wakat wanatafuta viwanja magomen na kinondon ww ulkua unaangaika na hips za pis kal kuzkomoa kwa kuzizalisha haya tuko apa mwanaghati tunajpgia uzao wako pole pole
Ebu soma huu uzi..
 
Ebu soma huu uzi..
Uez kunielewa kama huna D kwanzia 2 mzee wangu😂
 
Uez kunielewa kama huna D kwanzia 2 mzee wangu😂
Tusiogopeshwe na kelele za chura, tangu enzi za mababu na mababu watu wanatafuta maisha tu, ukiangalia mwisho wa siku wanaishia kufa tu wakitafuta maisha na wanakuwa hawajafanikisha ata kumiliki visima vya uchimbaji wa mafuta n.k; maisha ni sasa, kula maisha nenda ngorongoro, serengeti, himalaya, apalachia n.k
Kila siku tusiwe tunawaza mifuko ya simenti tu na matofali 😀 ; mbinguni hakuna tuzo.​
 
Uwa unaandika serious mada zako au huwa unachangamsha jukwaa?kwa mwanaume mwenye akili timamu hawezi kujisifu kuzaa watoto hovyohovyo.
Otherwise kichwa yako ina matatizo
 
Uwa unaandika serious mada zako au huwa unachangamsha jukwaa?kwa mwanaume mwenye akili timamu hawezi kujisifu kuzaa watoto hovyohovyo.
Otherwise kichwa yako ina matatizo
Kama viumbe vyote viko hivyo; kwa nini binadamu tu?
Ndio inatokea una vijana 20 wote wamepanda hewani na kila mmoja na mama yake, wanakuwa wanamzungukia mzee hapo kijijini siku za wkend kutokana na uzee wake; hapo utakuwa unajisikiaje?​
 
Kama viumbe vyote viko hivyo; kwa nini binadamu tu?
Ndio inatokea una vijana 20 wote wamepanda hewani na kila mmoja na mama yake, wanakuwa wanamzungukia mzee hapo kijijini siku za wkend kutokana na uzee wake; hapo utakuwa unajisikiaje?​
Poor you
 
Hahaha............Kuna Uzi nilisoma humu kwamba Kuna wakati wapenzi wakiwa wanashiriki halafu ghafla mchi ukatoka, basi zile Vurugu za mikono Kwa Kila mtu kuiwahi na kuichomeka Tena
 
Kuna pisi kali nimezaa nao mpaka nafsi yangu inasikia faraja; watoto wakali kuanzia sura, chura, hipsi, urefu, na wakazaa watoto wazuri hata nikiwaona kwa mbali najiona kweli nimetumia uanaume wangu vizuri.

Cha kushangaza, kila mmoja aniiti jina langu tena; bali wananiita baba fulani kutokana na watoto niliozaa nao, kupasha kiporo ni muda wowote tu ule unavyojisikia, muhimu bajeti kwa muda ule uweze kuimudu tu.

Kinacho wachanganya zaidi ni swaga zangu, ucheshi, kutokuishi kizee, pamoja na kujali kwa vitu vidogo vidogo.

Kila siku nimekuwa ni mtu wa kupata mialiko kutoka kwa hawa pisi kali zangu, sema tatizo ni bajeti nashindwa kuwafikia wote kwa wakati, kwa sababu wengine wako mikoa tofauti.

Kweli najiona kidume kuwa na hizi pisi kali zilizonizawadia watoto.​
UNIVERSITY OF ADULTERY
FINAL YEAR EXAMS
COURSE: MARRIAGEMATICS

Time: 1 HOUR 30 MINS

INSTRUCTIONS

ATTEMPT ALL QUESTIONS

ALL QUESTIONS CARRY EQUAL MARKS

1. You are a married man and you have dated somebody's wife for two years, busy spending on her like there is no tomorrow. Eventually she drops you and concentrates on her innocent husband. Calculate the percentage of time wasted. (20 marks)

2. You bought a phone for your friend's wife and she gave it to her husband. Using trigonometric identities, derive a general formula for this type of love. (20 marks)

3. For Men You're dating around 15 ladies and every lady is demanding for a Samsung Galaxy and an iPhone 6s

(a) Plot a graph of detoothers against prices of phones.
(15 marks)

(b) Use your graph to estimate your future poverty (5 marks)

(c) Plot the percentage shame against volume of apologies to your family members. (5 Marks)

4. You are whatsapping and facebooking other people's wives yet you don't want to see your wife on the social network. Calculate the Percentage Error in your thinking capacity. (20 marks)

5. You are a civil servant, your wife is a petty trader, your combined household income is less than Kshs. 30, 000 Your daughter is using iPhone 6s and Samsung Galaxy worth Kshs. 40, 000 each. Calculate the percentage of your Parental Negligence. (20 marks)

6. For ladies You're a married woman and you have dated 20 guys with hard labour, use the law of diminishing returns to calculate the substance that will be left for your husband to enjoy. (20 marks)

7. You can't give your wife Kshs. 200 for a pot of soup, but you spend over Kshs. 3000 in bars and restaurant.
Calculate the radius of your 'stupidity', take π=3.142 (20 marks)

8. You have been in the church and in your fellowship for years but your name is not in the book of LIFE because of the secret sin. Calculate the years you will spend in HELL? (30 marks)
 
Back
Top Bottom