Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Hapo sawa, utaratibu ubaki vile vile kwamba aje nyumbani kutuona Wazee 😜Sawa babu, namuwahi leoleo🤸
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sawa, utaratibu ubaki vile vile kwamba aje nyumbani kutuona Wazee 😜Sawa babu, namuwahi leoleo🤸
Aaaaah wapi? Alishakimbia majukumu huyo!Hopefully na watoto unawapa malezi wanayostahili….
Chaguzi zao zitaamua hatma ya maisha yakoKuna pisi kali nimezaa nao mpaka nafsi yangu inasikia faraja; watoto wakali kuanzia sura, chura, hipsi, urefu, na wakazaa watoto wazuri hata nikiwaona kwa mbali najiona kweli nimetumia uanaume wangu vizuri.
Cha kushangaza, kila mmoja aniiti jina langu tena; bali wananiita baba fulani kutokana na watoto niliozaa nao, kupasha kiporo ni muda wowote tu ule unavyojisikia, muhimu bajeti kwa muda ule uweze kuimudu tu.
Kinacho wachanganya zaidi ni swaga zangu, ucheshi, kutokuishi kizee, pamoja na kujali kwa vitu vidogo vidogo.
Kila siku nimekuwa ni mtu wa kupata mialiko kutoka kwa hawa pisi kali zangu, sema tatizo ni bajeti nashindwa kuwafikia wote kwa wakati, kwa sababu wengine wako mikoa tofauti.
Kweli najiona kidume kuwa na hizi pisi kali zilizonizawadia watoto.
Hatma ya kila mtu ni kifo, kwa hiyo inapobidi kuweka alama wewe weka tuChaguzi zao zitaamua hatma ya maisha yako
Ili kulifanikisha hilo, lazima mbinu za kibaharia zitumike; lasivyo itakuwa ni kuchunwa mpaka mwisho bila kuweka alama yoyote.Si mpaka hiyo pisi kali ikubali kubeba mtoto wako sasa 😂😂
Umeandika kama vile uamuzi wa kubeba mimba uko kwa mwanaume
Utakimbiaje nakala yako mkuu? toto sura ya baba, ukimtazama unasema yes 😀Aaaaah wapi? Alishakimbia majukumu huyo!
Kuna wengine sasa hivi ni watu wazima na wanatoa maamuzi mazito, ila kwenye malezi walilelewa na mzazi mmoja; kwa hiyo, mengine huwa ni maneno tu sisi tunajitungia au tunaogopeshana.Kuna MTU aliwahi ku kuleta Uzi humu unaohusu Alfa male and better male. Ukiusoma unaweza kuona umuhimu wa mtoto kupata malezi ya Baba na mama na athali za mtoto kupata malezi ya upande mmoja. Sometimes kukosa malezi ya Baba na mama kunaweza kumuathili mtoto kisaikolojia
😀 😀 😀ndio maana ata kwenye mazao na mifugo huwa tunachagua mbeguUmetuhakikishia pia watoto wako ni pisi kali. Ngoja niwasikilizie hata kwa chumvi nile.
Sent from my TECNO B1 using JamiiForums mobile app
Hakuna balaa lolote, wapo saba nje na kila mmoja na mama yake, na wanaendelea vizuri huko walikoUnajua balaa la Mtoto wewe!
Kweli kabisa🤣🤣🤣Hiyo mimba itaingia iwapo atakuwa hajafunga "Hand break"
Siku hizi Kwa Kila Wanawake 5 basi 3 ukiwaangalia kwenye Mkono wao wa kushoto utakuta Wana hand break ( wanatumia vimti kujilinda na mimba zisizo tarajiwa)
Refer case ya Vanessa Mdee na Juma Jux
Pamoja na Jux kupiga mashuti makali lakini hakuweza hata kumbebea mimba, lakini Rotimi kugusa kidogo tu, Vanessa akaanza kuhisi kichefuchefu na kuanza kula udongo mwekundu 😜🙌
Kwahiyo kuzaa na Mwanamke ni lazima hiyo PisiKali ikubali, vinginevyo hutaambulia hata mtoto wa dawa
Tunawajibika na wana afya teleMalezi ya watoto ni lazima uwajibike, vinginevyo ni upuuzi tu
Watoto ni muhimu katika hii dunia 😀🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆 Ewwwwww
Mim sijasema kitu Kaka.Watoto ni muhimu katika hii dunia 😀
Wanawake ukiona wanakubebea mimba ujue walishafanya kitaalamu kitu kinaitwa Economic and Financial analysisKweli kabisa🤣🤣🤣
Kitu kizuri kinacho kufurahisha machoni, ni vizuri kukihudumia 😀hahahahah,hao pisikali wanabamba zaid kwa show off za town ila pia vizinga vyao si haba tofaut na hawa ambao mimi nawapambania!
Pisi kali kuanzia 30yrsPEDOPHILE
Tofauti ya kijinsia kati ya mke na mlay huwa ni ipi?Anajisifia kununua malaya.
Kisha akaanza kulipa child support
Na bado anamlipa tena.
This guy amejigeuza kua mteja wa kudumu