Mabaharia wenzangu, ukitembea na pisi kali, hakikisha unabebesha mimba

Mabaharia wenzangu, ukitembea na pisi kali, hakikisha unabebesha mimba

Kuna pisi kali nimezaa nao mpaka nafsi yangu inasikia faraja; watoto wakali kuanzia sura, chura, hipsi, urefu, na wakazaa watoto wazuri hata nikiwaona kwa mbali najiona kweli nimetumia uanaume wangu vizuri.

Cha kushangaza, kila mmoja aniiti jina langu tena; bali wananiita baba fulani kutokana na watoto niliozaa nao, kupasha kiporo ni muda wowote tu ule unavyojisikia, muhimu bajeti kwa muda ule uweze kuimudu tu.

Kinacho wachanganya zaidi ni swaga zangu, ucheshi, kutokuishi kizee, pamoja na kujali kwa vitu vidogo vidogo.

Kila siku nimekuwa ni mtu wa kupata mialiko kutoka kwa hawa pisi kali zangu, sema tatizo ni bajeti nashindwa kuwafikia wote kwa wakati, kwa sababu wengine wako mikoa tofauti.

Kweli najiona kidume kuwa na hizi pisi kali zilizonizawadia watoto.​
Chaguzi zao zitaamua hatma ya maisha yako
 
Si mpaka hiyo pisi kali ikubali kubeba mtoto wako sasa 😂😂
Umeandika kama vile uamuzi wa kubeba mimba uko kwa mwanaume
Ili kulifanikisha hilo, lazima mbinu za kibaharia zitumike; lasivyo itakuwa ni kuchunwa mpaka mwisho bila kuweka alama yoyote.
 
Kuna MTU aliwahi ku kuleta Uzi humu unaohusu Alfa male and better male. Ukiusoma unaweza kuona umuhimu wa mtoto kupata malezi ya Baba na mama na athali za mtoto kupata malezi ya upande mmoja. Sometimes kukosa malezi ya Baba na mama kunaweza kumuathili mtoto kisaikolojia
Kuna wengine sasa hivi ni watu wazima na wanatoa maamuzi mazito, ila kwenye malezi walilelewa na mzazi mmoja; kwa hiyo, mengine huwa ni maneno tu sisi tunajitungia au tunaogopeshana.
 
Hiyo mimba itaingia iwapo atakuwa hajafunga "Hand break"

Siku hizi Kwa Kila Wanawake 5 basi 3 ukiwaangalia kwenye Mkono wao wa kushoto utakuta Wana hand break ( wanatumia vimti kujilinda na mimba zisizo tarajiwa)

Refer case ya Vanessa Mdee na Juma Jux

Pamoja na Jux kupiga mashuti makali lakini hakuweza hata kumbebea mimba, lakini Rotimi kugusa kidogo tu, Vanessa akaanza kuhisi kichefuchefu na kuanza kula udongo mwekundu 😜🙌

Kwahiyo kuzaa na Mwanamke ni lazima hiyo PisiKali ikubali, vinginevyo hutaambulia hata mtoto wa dawa
Kweli kabisa🤣🤣🤣
 
Kweli kabisa🤣🤣🤣
Wanawake ukiona wanakubebea mimba ujue walishafanya kitaalamu kitu kinaitwa Economic and Financial analysis

Yupo radhi aendelee kudate na wewe hata miaka 5 (akiwa ameweka hivyo vimti) huku akiendelea kumtafuta mwenye vigezo vya kumbebea mimba
 
hahahahah,hao pisikali wanabamba zaid kwa show off za town ila pia vizinga vyao si haba tofaut na hawa ambao mimi nawapambania!
Kitu kizuri kinacho kufurahisha machoni, ni vizuri kukihudumia 😀
 
Back
Top Bottom