Mabahili na tusiopenda kupelekeshwa katika mapenzi wote tukutane hapa

Nafikiri tuenda moja kwa moja kwenye mapitio na maboresho ya mbinu mpya za uhongaji , itasaidie kuokoa vijana
 
Naona watu wanakuja kujifariji maumivu baada ya kuhonga fedha .
 
Sikujua kama wenzangu mmeendelea kiasi cha kumiliki chama,nilienzi ubahili kimya kimya nikajua tupo wachache kumbe ni usajili tu ndo sina asee...Nisajilini rasmi manake Mimi sipendagi ujinga pia
 
Sikujua kama wenzangu mmeendelea kiasi cha kumiliki chama,nilienzi ubahili kimya kimya nikajua tupo wachache kumbe ni usajili tu ndo sina asee...Nisajilini rasmi manake Mimi sipendagi ujinga pia
Mzee thubo yamkini bado haujachelewa katika zoezi la usajili,umefika katika wakati mwafaka kabisa tena lazima tukupe cheo ndani ya hiki chama
Karibu sana mzee thubo
 
Mzee thubo yamkini bado haujachelewa katika zoezi la usajili,umefika katika wakati mwafaka kabisa tena lazima tukupe cheo ndani ya hiki chama
Karibu sana mzee thubo
Hahahaaaaaaa,,,,sign me asee
 
Sure kwakweli,
Mie juzi demu kwa mara ya kwanza nimemwambia nimtoe out kaja na rafiki zake wawili nkamlia gap akaja kala wakanywa vzr bill laki moja na 70 sa1 mpaka sa5 usiku.

Nikamwombe mchoze akajifanya anataka enda kwao baadae akakubali kuachia uvungu nimetafuna usiku kucha chumba 35.
Asbh nimemuacha bila bila,
Baada ya siku2 anaomba ela ya lotion 20 nkamjibu jifunze kuja peke ako sijabaki na chenji.
 
Upo vzuri
 
Kuna demu alinipiga mzinga wa 100,000 akidai atanirudishia, toka mwaka Jana hadi Leo nimeshindwa kusahau.
 
Kidumu chama cha wanaume kwa kweli [emoji106]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…