Mabahili na tusiopenda kupelekeshwa katika mapenzi wote tukutane hapa

nakupa kadi fasta mkuu njoo
Asante mkuu. Nipo tayari kua mwanachama bora
Kumbe tupo wengi lakini iki chama kiongozwe na itikadi kali za kibahili.
Wanataka 50 to 50. Hakuna mteremko kwa usawa huu unaweza endekeza hawa viumbe ukapoteza malengo
 
Ujinga wa kuchunwa nan anautaka mm nilijua am single Man mwenye itikad kali tafadhali My ID isajiliwe wananiiita King *Gungapakwe* Lamba UL..
 
Ujinga wa kuchunwa nan anautaka mm nilijua am single Man mwenye itikad kali tafadhali My ID isajiliwe wananiiita King *Gungapakwe* Lamba UL..
Hakika inaonekana kweli wewe ni bahili mwenye itikadi kali,naomba uwe katibu kiongozi wa mabahili.Tuseme sasa mwisho wa kupigwa vibuti
 
Tuwe serious jama, hivi kuna watu wanahonga wanawake? why and how?
 
This fabulous
 
Unaakili kweli we mwenzetu!
 
Asante mkuu. Nipo tayari kua mwanachama bora
Kumbe tupo wengi lakini iki chama kiongozwe na itikadi kali za kibahili.
Wanataka 50 to 50. Hakuna mteremko kwa usawa huu unaweza endekeza hawa viumbe ukapoteza malengo
Nafurahi kusema kuwa hiki chama kina watu wenye akili mno!
Wanachama wenye itikadi tupo!
 
Huyu wangu anataka nimnunulie Luku, hakika yake leo atalala kwenye giza.. Ndio ataelewa umuhimu wa kuwa na nokia tochi...
Mbona kama avatar yako inaashiria wewe sio wa hiki chama, kwa ulivyowekwa chini na demu sindo nyie mnaoendekeza mfumo jike yani ukute hamna daraja ulale akukanyage kama mazoezi ya kiaskari!
 
Mbona kama avatar yako inaashiria wewe sio wa hiki chama, kwa ulivyowekwa chini na demu sindo nyie mnaoendekeza mfumo jike yani ukute hamna daraja ulale akukanyage kama mazoezi ya kiaskari!
Ahsante kwa kulitambua hilo,ngoja huyo bwana afikishwe kwenye kamati ya masaa matatu na sekunde tatu ili wamjadili
 
Mbona kama avatar yako inaashiria wewe sio wa hiki chama, kwa ulivyowekwa chini na demu sindo nyie mnaoendekeza mfumo jike yani ukute hamna daraja ulale akukanyage kama mazoezi ya kiaskari!

Hiyo ni avatar tu wala isukupe shida!!
 
Nafasi bado ipo, form zimeanza kutolewa,tunaomba cv yako ya ubahili ambayo umewahi kuionyesha,cv iwekwe hadharani
Atupe tukio moja kali ili tujue msimamo wake kwenye hili jambo
 
Ujinga wa kuchunwa nan anautaka mm nilijua am single Man mwenye itikad kali tafadhali My ID isajiliwe wananiiita King *Gungapakwe* Lamba UL..
umesha nilipa kiingilio mhazini?ni mia tu no ada no michango
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…