Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 29,909
- 32,414
Kwani anajua kuongea?!Acha utani mkuu 🤣 🤣 🤣
Tafuta clip zake then uniambie...
Sio kuongea tu hata kusoma refer kwenye bajeti ya wizara yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani anajua kuongea?!Acha utani mkuu 🤣 🤣 🤣
kwanini unasema anaunga mkono vitisho , funguka , tunaweza kuhakikisha nchi yake inamrejesha kwao , tuna mtandao mkubwa sanaSerikali inawatishia mabalozi usalama wao kuhudhuria hapo mahakamani.
Kinachoweza kutokea sasa ni kwamba serikali yenyewe wanaweza kuanzisha vurugu hapo ili kuwatishia mabalozi wasiendelee kuhudhuria kesi hiyo.
Kiongozi wa mabalozi Dr. Ahamada El Badaoui (sijui ni kutoka nchi gani huyu), inaonekana anaunga mkono vitisho hivyo wanavyopewa mabalozi wake!
Anahatarisha usalama wake.Balozi kuhudhuria kesi anavunja sheria gani ?
huyu mama ni Kabudi mpyaKwani sheria na taratibu za kidiplomasia zasemaje?
Au azungumzia Viena Convention on Diplomatic Relations?
Au azungumzia kuwakumbusha majukumu yao mabalozi yaani Diplomatic Roles?
Awe wazi asionekana kama vile watu husema "She is flying her weight about".
kwahiyo kuna dalili ya mabalozi kupigwa mabomu ?Anahatarisha usalama wake.
Mimi nimeelewa hivyo!
Kazi ya balozi ni kuangalia hali ya kisiasa ya nchi mwenyeji, na hutakiwa kufahamu sera dira ya maendeleo yake.huyu mama ni Kabudi mpya
Lakini mahakama zetu ni sehemu iliyo ndani yaani "confined space".Kama wanaweza kuhudhuria kwenye kuapishwa kwa rais, basi wanaweza kuhudhuria kwenye kesi ya ugaidi
Hii ndio Taarifa iliyotolewa na Waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa Africa Mashariki , Mtukufu Mulamula , ambaye amewataka mabalozi hao kufuata sheria na taratibu za kidiplomasia , hakufafanua taratibu hizo kama zinawakataza mabalozi kuhudhuria kesi mahakamani au la .
View attachment 1900584
Chanzo : Mwananchi
Kuna ibara yoyote ndani ya katiba yenu mbovu iliyoeleza jambo hilo ?Hakuna precedent ya balozi wa nchi yoyote kuhudhuria case dhidi ya raia wa host country.
Wangekuwa na utamaduni wa kufanya hivyo miaka yote na kwa cases zote dhidi ya raia wa host country, kuhudhuria kwao kusingekuwa na walakini. Kuchagua kuhudhuria case moja tu ya Mbowe itakuwa clear meddling in our internal affairs, kitu ambacho ni kinyume cha sheria na taratibu za kidiplomasia!
Hakainde Hichilema (born 4 June 1962) is a Zambian businessman and politician who has been President of the United Party for National Development, an opposition political party, since 2006.
Serikali ya CCM inajifanya haijui nguvu ya wadau wa maendeleo.
Rais Edgar C. Lungu na chama chake cha PF walijitia kuwakumbusha mabeberu , vibaraka wa nje kuhusu kutoingilia kesi ya Hakainde Hichilema alipotupwa mahabusu kwa tuhuma za uhaini.
Aliyekuwa Kiongozi wa upinzani Bw. Hakainde Hichilema sasa ni rais mteule kupitia ushindi alioupata tarehe 12 August 2021 pamoja ya kupitia katika manyanyaso ya kila aina tangu 2006 :
History
Hakainde Hichilema's arrest was widely condemned. The United States,[23] the European Union[24] and the European Parliament[25] denounced the arrest. The Africa Liberal Network condemned the arrest as an attempt by President Lungu to silence dissent and opposition.[26] The Catholic bishops strongly condemned the arrest and said Zambia had become a dictatorship under President Edgar Lungu.[27] Julius Malema, the leader of South Africa's EFF party, accused Zambia's president Edgar Lungu of apartheid style repression for detaining Hichilema on treason charges[12] and called president Lungu a “Coward”.[28] Mmusi Maimane, the leader of South Africa's DA party, who was denied entry into Zambia to visit Hichilema in Jail[29] (stopped from exiting the plane at Lusaka's Kenneth Kaunda International Airport) strongly denounced the trumped up charges against Hichilema.[30]
Time in jail
Hichilema said in an interview on HARDtalk that during his time in prison he was held in solitary confinement for 8 days without food, water, light or visitation, was tortured by having his private parts pepper sprayed and accused president Lungu of having tried to kill him.[31]
His wife Mutinta was turned away by prison officials when she took food for him.
Hichilema's arrest was the subject of the episode of Al Jazeera's The Stream TV program titled Is Zambia's democracy in danger[32] which aired on 30 May 2017.
High-profile jail visitations
Zambia's first president Kenneth Kaunda was turned away by prison officials when he visited Hichilema in Prison.[33]
Mmusi Maimane, leader of the Democratic Alliance (South Africa) was also turned away by Zambia Police when he came to Zambia to attend Hichilema's court appearance, he was not allowed to disembark from the plane, had his phone confiscated and was roughed up.[29] This prompted South Africa's Foreign Ministry to summon Zambia's Ambassador to South Africa Emmanuel Mwamba to explain the actions of the Zambian regime.
Former President of Nigeria, Olusegun Obasanjo visited Hichilema in Prison.[34]
Secretary General of the Commonwealth, Baroness Patricia Scotland visited Hichilema in Prison twice.[35]
2017
BBC World News Hardtalk Interview With Hakainde Hichilema.
Hapo juu kuna hadithi ya Hichilema na masikini Edgar Lungu , hebu ipitieSafi sana.
Na nchi yetu muda si mrefu itatengezewa kipindi maalum ktk lugha ya Kiingereza ili dunia izidi kufahamu jinsi nafasi ya demokrasia ya hali ya vyama vingi kufanya siasa inavyozidi kutiwa kabali na utawala dhalimu wa serikali ya CCM. Lile pazia ya kujifichia la madhalimu ya CCM kwa mgongo wa media zote za Tanzania kuendesha habari zake kwa lugha ya Kiswahili ili uovu unaoendelea Tanzania usivuje kimataifa sasa umefikia tamati. Matumizi ya 'kilugha' cha kiSwahili kuficha maovu umefikia mwisho. CCM na serikali ilitumia na bado inatumia uzalendo feki kuwa habari zote ziwe kwa kiSwahili ili watu wa Mataifa mengine wasifahamu mambo mabaya yanayofanywa na CCM.
31 May 2017
ZAMBIA CHINI YA DIKTETA EDGAR C. LUNGU ILIPATA KUANGAZIWA
31 May 2017
The Stream - Is 🇿🇲 Zambia’s democracy in danger?
Source : Al Jazeera English