Mabalozi wa kigeni wanaohudhuria kesi ya Mbowe waonywa

Mabalozi wa kigeni wanaohudhuria kesi ya Mbowe waonywa

Hii ndio Taarifa iliyotolewa na Waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa Africa Mashariki , Mtukufu Mulamula , ambaye amewataka mabalozi hao kufuata sheria na taratibu za kidiplomasia , hakufafanua taratibu hizo kama zinawakataza mabalozi kuhudhuria kesi mahakamani au la .

View attachment 1900584

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula amewataka mabalozi wanaokwenda mahakamani kufuatilia mwenendo ya kesi ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kufuata sheria na taratibu za kidiplomasia.

Balozi Mulamula ameyasema hayo leo Agosti 20,2021 jijini Dar es Salaama wakati akizungumza na mabalozi, wakuu wa taasisi na mashirika ya kimataifa mkutano wa wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) uliofanyika Lilongwe, Malawi Agosti 17–18.

Katika mkutano huo, Balozi Mulamula amesisitiza kwamba mabalozi wanaokwenda mahakamani kufuatilia mwenendo wa kesi ya Mbowe kufuata sheria na taratibu za kimataifa za kidiplomasia ili kujiepusha na ukiukwaji wa sheria na taratibu hizo.

Chanzo: Mwananchi
Kumbe pamoja na kukaa Marekani na kufanya kazi huko bado ni zero brain ?!

Masikini Tanzania na wasomi wake !!
 
Nilisoma hii habari nikathibitisha fikra zangu kuwa CCM inaangamia kwa viongozi wake kukosa maarifa.
Waliisha ishiwa maarifa na waliishapoteza mvuto isipokuwa kwa wenye njaa endelevu na walojaa unafiki kuliko wa shetani.
Ndio maana kadiri siku zinavyokwenda wanazidi kutegemea zaidi ubabaishaji wizi, ulaghai, mabavu ili kung'ang'ania kubaki madarakani.
Kwa bahati mbaya navyo kama ulivyo utawala wa shetani, vinaishiwa nguvu kwa kasi kwani havijengi uwepo wa haki wala havisaidii kuleta maendeleo ya kweli ya watu.
Sasa baada ya kumaliza mafunzo Rwanda, wameanza kujaribu kutisha hata majirani wanaowafadhili. Mwisho wao ndo umeshafika.
 
Sema Hawa mabeberu Ukiwa kwenye nchi zao alafu ukajihusisha na Mamb ya nchin kwao wanakufurusha sema n hiz njaa zetu tu ata wao S wasafi Sana
 
Kukataza watu au Mabalozi wasiende kusikiliza Kesi ya Mbowe, huu si ndio utakuwa ni ushahidi kuwa Mbowe sio gaidi ila ni kesi iliyotokana na uonevu wa Serekali.
 
Yaani haya Masokwe ya Kongo kujiona watu wanapenda sana.
Wazungu wakituita masokwe tuna mind Sana kutufananisha na hayo masokwe, Ila sisi waafrika kujiita masokwe tunaona sawa. Akili za waafrika hovyo Sana

Nyumbu hovyo kabisa.
 
Anahatarisha usalama wake.
Mimi nimeelewa hivyo!
Kwa zile staili za Sirro na vijana wake waliomuua msichana Acquilina, wataweza kufanikiwa.
Ila baada ya hapo itabidi wakatafute pa kuishi, hao magaidi wa Sirro watakimbiakimbia lakini watafuatwa na kukamatwa.
 
Kazi ya balozi siyo kuhudhuria kesi!
Vipi kwenda kwenye shopping malls kujipatia mahitaji yake ni kazi ya balozi? Kwani ukienda kusikiliza kesi uko kazini? Ni hakimu na wahudumu wa mahakama ndio wako kazini..mahakama iko wazi kwa watu wengine kuhudhuria kuna kujifunza kupitia kesi mbalimbali zinazoendeshwa.
 
Hii ndio Taarifa iliyotolewa na Waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa Africa Mashariki , Mtukufu Mulamula , ambaye amewataka mabalozi hao kufuata sheria na taratibu za kidiplomasia , hakufafanua taratibu hizo kama zinawakataza mabalozi kuhudhuria kesi mahakamani au la .

View attachment 1900584

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula amewataka mabalozi wanaokwenda mahakamani kufuatilia mwenendo ya kesi ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kufuata sheria na taratibu za kidiplomasia.

Balozi Mulamula ameyasema hayo leo Agosti 20,2021 jijini Dar es Salaama wakati akizungumza na mabalozi, wakuu wa taasisi na mashirika ya kimataifa mkutano wa wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) uliofanyika Lilongwe, Malawi Agosti 17–18.

Katika mkutano huo, Balozi Mulamula amesisitiza kwamba mabalozi wanaokwenda mahakamani kufuatilia mwenendo wa kesi ya Mbowe kufuata sheria na taratibu za kimataifa za kidiplomasia ili kujiepusha na ukiukwaji wa sheria na taratibu hizo.

Chanzo: Mwananchi
Angeeleza vizur, Ni sheria zipi huwa hao mabalozi wanazikiuka wakati wanaenda kusikilza kesi!
 
Kwanini usijielimishe kwanza kabla ya kuuliza such a lousy question?

Katiba ya nchi sio kanuni zinazotoa mwongozo wa diplomatic missions na uhusiano wa kimataifa. Katiba ya nchi ni kwa ajili ya nchi na watu wake!
Kwa hiyo akina Mulamula wameyapata wapi hayo?
 
Hii ndio Taarifa iliyotolewa na Waziri wa Mambo ya nje na ushirikiano wa Africa Mashariki , Mtukufu Mulamula , ambaye amewataka mabalozi hao kufuata sheria na taratibu za kidiplomasia , hakufafanua taratibu hizo kama zinawakataza mabalozi kuhudhuria kesi mahakamani au la .

View attachment 1900584

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula amewataka mabalozi wanaokwenda mahakamani kufuatilia mwenendo ya kesi ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kufuata sheria na taratibu za kidiplomasia.

Balozi Mulamula ameyasema hayo leo Agosti 20,2021 jijini Dar es Salaama wakati akizungumza na mabalozi, wakuu wa taasisi na mashirika ya kimataifa mkutano wa wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) uliofanyika Lilongwe, Malawi Agosti 17–18.

Katika mkutano huo, Balozi Mulamula amesisitiza kwamba mabalozi wanaokwenda mahakamani kufuatilia mwenendo wa kesi ya Mbowe kufuata sheria na taratibu za kimataifa za kidiplomasia ili kujiepusha na ukiukwaji wa sheria na taratibu hizo.

Chanzo: Mwananchi
Ni kweli sema vijana hamsomi hayo mko lesi mbele, iko hivi hata kama wewe unakimbizwa na polisi na kufanikiwa kuingia katika ofisi ya ubalozi wowote huwa polisi wanarudi kituoni kufanya utaratibu na ile nchi kumpata mtuhumiwa na polisi watakao kwenda si tena hawa wa mama bali wanaitwa Intapoli.Sasa jiongezeni kwa upande mwingine wa shiringi, yeye balozi anamipaka yake akiwa ndani ya uzio wa ofisi anakuwa kama yupo nchini mwake anapotoka nje anapoteza vitu hivyo balozi kuja mahakamani kwa kesi za watu wasiomuhusu ni umbea tu na sheria hairuhusu.
 
Ni kweli sema vijana hamsomi hayo mko lesi mbele, iko hivi hata kama wewe unakimbizwa na polisi na kufanikiwa kuingia katika ofisi ya ubalozi wowote huwa polisi wanarudi kituoni kufanya utaratibu na ile nchi kumpata mtuhumiwa na polisi watakao kwenda si tena hawa wa mama bali wanaitwa Intapoli.Sasa jiongezeni kwa upande mwingine wa shiringi, yeye balozi anamipaka yake akiwa ndani ya uzio wa ofisi anakuwa kama yupo nchini mwake anapotoka nje anapoteza vitu hivyo balozi kuja mahakamani kwa kesi za watu wasiomuhusu ni umbea tu na sheria hairuhusu.
Hiyo sheria iko ibara ipi ?
 
Wazungu wakituita masokwe tuna mind Sana kutufananisha na hayo masokwe, Ila sisi waafrika kujiita masokwe tunaona sawa. Akili za waafrika hovyo Sana

Nyumbu hovyo kabisa.
Hakuna cha kukasirika, kajiangalie vizuri kwenye kioo utatambua sisi ni manyani kwa muonekano na matendo yetu, tena muda mwingine hata manyani yana utu na ubinadamu kuliko sisi ngozi nyeusi. wazungu wapo sahii
Mungu wabariki wazungu..🙏🏾
 
Watanzania tusome sana historia na kutumia internet tuongeze uelewa. Hii itatuondolea unyonge ndani ya nchi na hata tukiwa nje, ile hali ya uwoga sijui diplomasia inaruhusu au free speech au kusema mawazo yako kinzani n.k inaruhusiwa na CCM au la itaondoka

25 Nov 2017
Harlem New York city
USA

Fidel Castro Speech in Harlem (1995)



The Late President Fidel Castro spoke about the spiritual and emotional ties between his movement in Cuba and the civil rights movement in the United States. He also spoke about Cuba's accomplishments in several areas, including having sufficient doctors for all citizens and free education.
source: AfroMarxist
 
Back
Top Bottom