Tutaunda Tume kuchunguza.
Hii tume ikiharakisha majibu kama ya hamzah itapendeza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutaunda Tume kuchunguza.
Ni uongo mkubwa. Hivi wakienda huko na wanunuzi si lazima wawafuate huko huko tu?
Waache visingizio. Utaratibu ufuatwe.
Haijalishi mzee. Kama muuzaji akihama hata wewe mnunuzi usipohama lazima utamfuata muuzaji alipo ili upate huduma. Mbona ni suala lililopo wazi tu asee.Labda kama wanunuzi wamebadilishiwa makazi nao,mkuu kuwa unafikiri vizuri
Siyo kwamba machinga akiondolewa eneo fulani na bidhaa zinakuwa hazipatikani. Kuna wafanyabiashara wengine wanabaki eneo hiloHaijalishi mzee. Kama muuzaji akihama hata wewe mnunuzi usipohama lazima utamfuata muuzaji alipo ili upate huduma. Mbona ni suala lililopo wazi tu asee.
Hata kama wakiondoka wote sisi wanunuzi lazima tutawafuata wanapotolea huduma zao.Machinga akiondolewa eneo fulani na bidhaa zinakuwa hazipatikani. Kuna wafanyabiashara wengine wanabaki eneo hilo
Hatuwezi kuwafuata kwa sababu bidhaa bado zitakuwa zinapatikana eneo hiloHata kama wakiondoka wote sisi wanunuzi lazima tutawafuata wanapotolea huduma zao.
🤣🤣🤣🤣🤣Nazungumzia kuchomwa moto Kwa mabanda, sio kuondolewa machinga.
Mi-5 tena!
Haijalishi mzee. Kama muuzaji akihama hata wewe mnunuzi usipohama lazima utamfuata muuzaji alipo ili upate huduma. Mbona ni suala lililopo wazi tu asee.
Mi nadhan wakienda na Magreda mchana kweupe wakaangusha banda mbili tatu hawatokaa tena hapo, kuliko kuwachomea moto kuwapa hasara kubwa.Machinga wabishi Sana,Acha wapigwe kwenye mshono ili akili iwakae sawa
sasa watu kama masikio wamekalia, unategemea nini? nawapa pole zao.Hivi si watoane tu kistaarabu kuliko kutiana hasara hivi? Pesa ngumu jaman
Machinga huwa hawajengi mabanda barabarani bali huwa wanatembeza bidhaa zao. Hao unaowazungumzia wewe sio machinga japo kwa sasa wamelazimishwa kuitwa machinga.Mkuu tunamuongelea mmachinga ambaye alikuwa anauza kwa kukutana na mteja akienda nyumbani au kazini. Mmachinga ambaye anachukua vitu kwa mfanyabiashara mkubwa vikiisha anarudi tena kununua. Sasa kwa nini mimi mteja nifunge safari kumfuata mtu ambaye siyo reliable kiasi hicho?
Manispaa huwa wanajiongeza sana ktk kuhamisha mob kama hivi ila hii style inaacha maumivu sana kwa inaowakuta,yapo madai hata soko la Kariakoo ilikuwa inside job watu wahame maana wangeambiana tu kwenye vikao vya wafanyabiashara miaka mia hakuna angehama pale!Yanateketea au yamepigwa nali na manispaa[emoji28]