Mabango ya GSM yaondolewa Uwanja wa Mkapa

Mabango ya GSM yaondolewa Uwanja wa Mkapa

Msinufaikea Miaka iliopita mnufaike leo huyo gsm ni ntu ya dili
Amkeni wana uto mnaibiwa
Acha tuendelee kulala kama walivyolala Makolo hadi wakampa timu Mwamedi kwa 49% kwa 20B!! Na pamoja na faida zote za kibiashara anazopata kupitia mgongo wa Makolo, bado haishi kulia lia kwamba anapata hasara!!
 
Acha tuendelee kulala kama walivyolala Makolo hadi wakampa timu Mwamedi kwa 49B!! Na pamoja na faida zote za kibiashara anazopata kupitia mgongo wa Makolo, bado haishi kulia lia kwamba anapata hasara!!
49 billioni ?! Acha upotoshaji.
 
Acha tuendelee kulala kama walivyolala Makolo hadi wakampa timu Mwamedi kwa 49B!! Na pamoja na faida zote za kibiashara anazopata kupitia mgongo wa Makolo, bado haishi kulia lia kwamba anapata hasara!!
Rudia kusoma ulichokiandika
Yanga ni mazuzu - shafih dauda
 
Back
Top Bottom