TFF ni mafala tu kwa simba na yanganimeamini simba na yanga ni kubwa kuliko tff
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TFF ni mafala tu kwa simba na yanganimeamini simba na yanga ni kubwa kuliko tff
Walioko kwenye communication department wote ni mahiri kwa kifaransa, kiingereza na kiarabu...CAF hawawezi kuwaweka mambumbumbu wa lugha hizo..Kwan walioko CAF wote wanajua kidhungu ?!
Ameuza magodoro mangapi kwa hiyo trend bwana utopizeGSM ametrend kweli leo, nadhani kibiashara leo kashinda.
Sina timu njnayoishabikia hapa bongo, nimeandika katika mlengo wa kibiashara na siyo kiushabiki.Ameuza magodoro mangapi kwa hiyo trend bwana utopize
Mkuu umeanza kuota.,,,🤣Mabango ya GSM hayawezi kuondolewa kihivyo...subiri muone kesho uwanjani
Tupia hata kavideo basi,kama umeweza kupiga picha ungeweka na video kabisa.Shirikisho la soka afrika caf limetuma barua na kuliomba kwa amri kali tff kutoa mabango ya gsm kwenye benchi la ufundi la simba na kama unavyoona sasa mabango ya gsm yameshaondolewa na simba kupitia page yao ya fb wamepost kuwa kila kitu kimekaa kwenye mstari na mechi kesho ipo kweli simba mbabe wa vita gsm na tff chaliiView attachment 2039560
iwe ya kweli au kufoji sisi tunajua mmesalimu amri, mabango tupa kule.Barua ya kufoji labda CUF ya LipumbaView attachment 2039739
Sawa hiyo GSM logo watavaa mbeya kwanza na team nyingine simba hawavai na hela hawachukui shida iko wapi kutuwekea uchafu kwenye press conference.GSM anawekeza kwenye ligi na sio Simba. Kaa kwa kutulia kolo mwenzangu
si kosa lako, Kuna zuzu mwenye akili?Mabango ya GSM hayawezi kuondolewa kihivyo...subiri muone kesho uwanjani
Hebu iandike kwa kiingereza kilichonyooka. Ili wajifunze.CAF hawawezi kuwa na Kingereza kibovu hivi... This is definitely fake.
Taarifa iliyopo mabango yametolewa kwenye vibanda vya mabenchi ya ufundi peke yake ila kwenye mzunguko wa uwanja yapo kama kawa.Sawa hiyo GSM logo watavaa mbeya kwanza na team nyingine simba hawavai na hela hawachukui shida iko wapi kutuwekea uchafu kwenye press conference.
Watazitapika kupitia matundu yote katika miili yao kudadadeqDaaah kwenye mgao karia alikuwa amechukua mil 600 zake akamalizie ghorofa lake sasa sijuwi itakuwaje.
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Sina timu njnayoishabikia hapa bongo, nimeandika katika mlengo wa kibiashara na siyo kiushabiki.