Munambefu
JF-Expert Member
- Jun 24, 2012
- 2,811
- 7,200
Hiyo paragraph ya mwisho ndio inaonesha u fake wa hii barua, mipasho kabisa kama wanawake wa buzaMambo yameumana hapa. Aibu kubwa kwa tff. View attachment 2039534
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo paragraph ya mwisho ndio inaonesha u fake wa hii barua, mipasho kabisa kama wanawake wa buzaMambo yameumana hapa. Aibu kubwa kwa tff. View attachment 2039534
Barua ya kufoji labda CUF ya LipumbaNafikiri ni amri ya CAF km barua inàvyoeleza.
Hawa bata jike wamefoji barua hakuna cha CUFMwafrika ni tatizo kweli. Yaani taasisi kama CAF wanaandika kama layman! Angalia jina Tanzania herufi ya kwanza ya jina imeandikwa kwa herufi ndogo. Hakuna alama ya full stop baada ya neno chaos. Sentensi inayoanza na legal,neno legal halijaanza kwa herufi kubwa. N.k
Hili linaweza kuonekana dogo lakini kwa Nchi au taasisi makini hili ni kosa kubwa. Najaribu kufikiri ingekuwa statement hiyo ingeandikwa na UEFA, kesho ingekuwa story kubwa kwenye vyombo vya habari Ulaya.
By the way sina tatizo na maamuzi hayo
ongea lugha za staha siyo unakuja na hangover za gongoWewe ni mbulukenge kweli sijui unafikilia kwa kutumia tumbo au makalio, yanga unayoitaja apo ndo imesaini mkataba na tff? Iyo bangi umeivutia wapi?
Barua ya kubumba hii.Hivi mnaofahamu kimalkia TFF kirefu chake ndiyo Football Tanzania Federation kama walivyo andika CAF kwenye barua au ni barua ya kubumba?
Kwan mkuu, umeumia ?!Barua ya kufoji labda CUF ya LipumbaView attachment 2039739
Mkuu mpuuze, nabado hajafungwa kesho, sijui itakuaje.ongea lugha za staha siyo unakuja na hangover za gongo
Labda mkafunge zipMkuu mpuuze, nabado hajafungwa kesho, sijui itakuaje.
Zipu ya Kabwili.Labda mkafunge zip
kwani huwajui?mechi ikianza huoni ila baada ya mechi ndo malalamiko huanzaMkuu mpuuze, nabado hajafungwa kesho, sijui itakuaje.
Kabisa, wanahasira wakiongozwa na Msukule waokwani huwajui?mechi ikianza huoni ila baada ya mechi ndo malalamiko huanza
Magufuli aliwatupa jela hawa mafisadiHivi ndio inatakiwa kuwa, hakuna kuleteana ushabiki kwenye masuala ya msingi, kanuni lazima zifuatwe makelele tupa pembeni, na wale viongozi wa TFF au bodi ya ligi walioingia huo mkataba wa siri na GSM wanatakiwa kushughulikiwa.
Mkuu, kuwa na subra
Fobes ya kwaMpalang'e.Kwa mjibu wa UTAFITI wa FORBES KAMPUNI ya GSM imetajwa mara BILION 3 ndani ya wiki moja na kuwa kampuni ya kwanza inayokuwa kutwajwa hvyo ikizipiku kampuni zote kubwa kama Samsung,apple,nike,addidas.
HONGERA kwa mkurugenzi wa uwekezaji wa GSM Engineers Hersi Said.
Kampuni inajitangaza ukiwa UMELALA
Hii barua ya TFF ndiyo fake kabisa. Mbona hiyo barua fake ya caf hawakuiambatanisha?Barua ya kufoji labda CUF ya LipumbaView attachment 2039739
Wakina Nani ?! Bilashaka ni Kampuni ya janja janja.Ni ushamba tu unawasumbua
Hapo Chacha.Hii barua ya TFF ndiyo fake kabisa. Mbona hiyo barua fake ya caf hawakuiambatanisha?