Mabango ya GSM yaondolewa Uwanja wa Mkapa

Msinufaikea Miaka iliopita mnufaike leo huyo gsm ni ntu ya dili
Amkeni wana uto mnaibiwa
Acha tuendelee kulala kama walivyolala Makolo hadi wakampa timu Mwamedi kwa 49% kwa 20B!! Na pamoja na faida zote za kibiashara anazopata kupitia mgongo wa Makolo, bado haishi kulia lia kwamba anapata hasara!!
 
Acha tuendelee kulala kama walivyolala Makolo hadi wakampa timu Mwamedi kwa 49B!! Na pamoja na faida zote za kibiashara anazopata kupitia mgongo wa Makolo, bado haishi kulia lia kwamba anapata hasara!!
49 billioni ?! Acha upotoshaji.
 
Acha tuendelee kulala kama walivyolala Makolo hadi wakampa timu Mwamedi kwa 49B!! Na pamoja na faida zote za kibiashara anazopata kupitia mgongo wa Makolo, bado haishi kulia lia kwamba anapata hasara!!
Rudia kusoma ulichokiandika
Yanga ni mazuzu - shafih dauda
 
Hapana, pole kwa kupigiwa mpira mkubwa.
Ahsante, manake nimeumia sana yaani nyie jamaa mmepewa point 2 kisa tu mmeupiga mwingi halafu sie tukaambulia kamoja!! Hii sio Fair Competition kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…